WAJUE WANAUME 15 WAJINGA..
KAMA KUNAMTU NITAMKWAZA ABADILIKE.
1) Anaemshawishi mwanamke akatoe mimba ili aendelee kufanya anasa. Huyo NIMJINGA
2) Anaenyoa viduku kuvaa milegezo nakusuka dred kama mwanamke. Huyo NIMJINGA
3) Asiyemjali mke na familia yake nakumthamini mchepuko anaemchuna pesa kila siku. Huyo NIMJINGA
4) Anaemdhalilisha mwanamke wakati anajua fika amezaliwa na mwanamke. Huyo NIMJINGA.
5) Anaeishikwa dada au shemeji yake wakati hana kazi yeyote kutwa nzima anaangalia tv nakusubili agongee msosi kwa dada yake utafikili nae kaolewa. Huyo NIMJINGA..
6) Anaeshinda vijiweni nakwenye mitandao yakijamii kila kukicha nakupost ujinga bila kazi yeyote wala faida yeyote. Huyo NIMJINGA..
7) Anamiliki simu ya gharama ya juu wakati hana kazi yeyote inayomfanya aingize pesa. Huyo NIMJINGA..
8 ) Anaevaa nguo za kubana zimechanika mpaka magoti yanaonekana kwakigezo kuwa anaenda na wakati. Huyo NIMJINGA.
9) Anaeishi bado kwa mama na angali ana miaka 30
10) Aliye na zaidi ya miaka 30 alafu anaishi kwa wazazi wake mpaka wembe,kula, maji ya kuoga kwa wazazi..Huyo NIMJINGA..
11) Anaye jadili mafanikio ya wengine... Huyo NIMJINGA
12) Anayechonganisha watu na kuwa na tabia za kimbea hadi kusutwa... Huyo NIMJINGA
13) Anayecheza kamali kama njia pekee ya kujipatia kipato... Huyo NIMJINGA
14) Anayedharau kazi na kujifanya baadhi ya kazi hawezi kuzifanya kwasababu si za hadhi yake... Huyo NIMJINGA
15) Asiyemheshimu Mungu, wazazi na jamii inayomzunguka... Huyo NIMJINGA.
KAMA KUNA TABIA ZINGINE AMBAZO UNAZIFAHAMU ZIANDIKE HAPA..
Imeandikwa na Young thinker 0745498485
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni