Jumamosi, 30 Julai 2016

Mbinu Pekee ya Kristo. Jumapili 31/07/2016

Katika kifungu cha maneno ambacho huwa kinanukuliwa mara nyingi, Ellen G. White anaeleza kwa ufupi Matendo Yesu aliyotenda ili kuwapatia watu wokovu( Angalia Mt.9:35-36).

Mbinu ya Yesu pekee ndiyo itatoa mafanikio thabiti ya kuwafikia watu. Mwokozi aliwafikia watu kama mmoja wao aliyetamani mazuri kwao.Alionesha huruma yake kwao, Aliwahudumia katika mahitaji yao,na kuzishinda Imani zao,na ndipo alipoamuru “Wamfuate”-Ellen G.White, The ministry of Healing, uk. 143.

Hebu na tuchambue jambo hili kidogo:

1.Yesu alijichanganya na watu kama aliyetamani mema kwao( Alifungua mitandao ya kuwasiliana nao)

2.Yesu aliwahurumia watu(Alianzisha umoja nao)

3. Yesu aliwahudumia katika mahitaji yao (Hili pia lilileta umoja)

4.Alipounganisha kipengele cha kwanza, cha pili, na cha tatu, Ali hakikisha kuzivuta Imani za watu wale.

5. “ Ndipo alipo amuru, ‘Nifuateni’(Kuwa wanafunzi)

Tunachokiona hapa ni injili kwa ujumla, na inavyo jumuisha mambo yote kimsingi. Huduma hii itatusaidia na kutuelekeza sisi katika kutangaza habari njema. Yesu hakutenganisha masuala yote ya kijamii (Hesabu 1-4) na ule wa kutoa mwaliko wa kumfuata yeye, ( Hesabu 5) na sisi pia hatupaswi kutenganisha. Hatua zote zikifuatwa ‘zitatoa mafanikio ya hakika’ Somo hili lita sisitizia katika hatua ya kwanza ya mbinu ya Yesu. Somo la 7-11 yatakazia katika mbinu zile nyingine.

Mafungu yafuatayo hutuambia nini kuhusu Mungu mwana kujichnganya na sisi? Mt. 1:22,23Yn. 1:14.

Sote tumeumizwa na kuharibiwa na dhambi.Ila kila kitu ulimwenguni kilichoharibiwa na dhambi, kinarejeshwa upya kupitia upatanisho wa Mungu na mwanadamu,kwa kupitia upatanisho kamili wa huduma ya Yesu kufanyika mwili. Alijichanganya na kutamani mema kwa mtu halisi na mbari yote ya wanadamu,hata kwa kuwahudumia wale walioonekana na tamaduni zao kama watu wasio faa kitu.

Fikiri juu ya huu ukweli wa kushangaza,kwamba,Yeye aliye viumba vitu vyote(Yohana 1:3)Yesu aliuvaa ubinadamu na kwa ubinadamu huo alijichanganya na kuhudumia jamii ya wanadamu iliyoanguka dhambini (aliwahudumia kama vile ni yeye). Ni kwa njia gani ukweli huu,wenye matumaini kiasi hiki, unaathiri tunavyojichanganya na kuwahudumia wengine?

Lessoni leo. Tar 30/07/2016 Yesu alichangamana na watu

Sabato Mchana
Soma Kwa Ajili ya Somo la Juma Hili: Mt. 1:22, 23;Yn. 1:14Luka 15:3–24Mt. 9:10–13Zab. 51:171 Yoh. 2:16Flp. 2:13–15

Fungu la Kukariri: “‘Basi watoza ushuru wote na wenye dhambi walikuwa wakimkaribia wamsikilize. Mafarisayo na waandishi wakanung’unika, wakisema, Mtu huyu huwakaribisha wenye dhambi, tena hula nao.’”(Luka 15:1, 2).

Shemasi katika kanisa fulani Aliendesha gari lililokuwa limebeba vijana kwenda katika nyumba ya wazee na kuendesha Ibada katika kila mwezi.Katika juma la kwanza, Wakati vijana wakiongoza Ibada ile, Mzee mmoja mlemavu aliyekua ameketi kwenye kiti cha magurudumu, Aliushika kwa nguvu mkono wa shemasi na kuung’ang’ania wakati wa ibada nzima. Huduma hii iliendelea mwezi hata mwezi. Siku moja vijana wale walipokuja kwaajili ya Ibada Mzee yule hakuwepo.Msaidizi wao alipoulizwa alisema, hali yake ilikuwa mbaya usiku mzima kiasi cha kufikiri kwamba kusingekucha akiwa hai. Shemasi alikwenda katika chumba cha yule Mzee, alimkuta amelala pale akiwa hajitambui. Shemasi yule aliushika mkono wa Mzee yule na kumwomba Mungu amwokoe kwaajili ya uzima wa milele. Mzee huyu aliyekua hajitambui aliuvuta mkono wa Shemasi na kuushika kwa nguvu, na shemasi akagundua kuwa maombi yake yalikuwa yamesikiwa. Akitokwa na machozi shemasi alinyanyuka na kutoka nje ya chumba kile,aligongana na mwanamke aliyekuwa mlangoni, Akisema, “mimi ni binti yake, Baba yangu amekua akikusubiri wewe, huku akisema, ‘Yesu huja mara moja kwa mwezi na kuushika mkono wangu, na sitaki kufa kabla sijapata nafasi ya kuushika mkono wake kwa mara nyingine’ ” Imetolewa katika, The least these, video iliyotengenezwa na Old Fashioned Pictures(2004).

Ukiristo ni kuhusu kuwa kama “Yesu” kwa mtu Fulani, Masomo kadhaa yatakayofuata yatalenga masuala ya Huduma ya Yesu na jinsi kanisa lake linavyoweza kuishi kulingana na huduma hiyo.

Alhamisi, 28 Julai 2016

Lessoni juma hili.

🌴LESONI- ALHAMISI🌴

🌲TAREHE 28/07/2016🌲

🔷KUSIMIKA KANISA🔷

Soma Mathayo 10: 5-10 Kwanini Yesu aliwatuma wanafunzi wake katika miji na vijiji tofauti tofauti bila vitendea kazi?

Linaonekana kuwa jambo gumu sana kwa wanafunzi wa Yesu kupewa maagizo ya kuanza huduma katika maeneo tofauti wakiwa na akiba chache kwaajili yao wenyewe.N I uhakika kwamba Yesu aliwaweka wanafunzi wake katika hali hiyo ili wajifunze kumtegemea Mungu na umuhimu wa kujenga urafiki kupitia hudma kwa wakazi wa maeneo waliopo.Wenyeji wamaeneo haya wangethamini huduma yao kiasi cha kuwasaidia kufanya huduma yao.

Mchungaji Frank alitumwa na konfrensi yake Mahalia kwenda kusimika kanisa katika sehemu ya mji mkubwa ambayo kwa hakika hapa kuwa na Mwadventista hata mmoja. Mwanzoni hakuwa na fedha kabisa kwa ajili ya kazi hiyo.Alitazama ramani na kutafuta mipaka yote ya mji ule na kusoma takwimu ya watu wote katika eneo lile na hali zao.Aliegesha gari lake jirani na eneo lenye biashara nyingi za kila aina,Alianza kutembelea biashara moja baada ya nyingine akiwauliza watu kuhusu hali ya maisha katika eneo lile. Alitembelea maeneo hayo akiongozana na viongozi wa kisiasa,kibiashara na kijamii. Alipata marafiki wenyeji wa eneo lile,ambao walimualika kujumuika pamoja nao katika klabu za kijamii, Katika utaratibu huo aligundua viongozi ambao walikua tayari kumpangishia jengo dogo kando ya jengo kubwa kwaajili ya kanisa Mahalia la Kipresbetarian.Wanachama wa klabu ya kijamii walitoa fedha zao za mbegu,zilizotumika kununulia rangi na vifaa vya kufanyia usafi ili kung’arisha jingo lile kwa ajili ya huduma za kijamii.Mahojiano kati ya viongozi wa kijamii na Mchungaji Frank yalionesha kuwa hutaji la muhimu kwa jamii ile ni suala la afya.Hivyo Mchungaji Frank alitengeneza na kuunganisha timu ya wataalamu wa afya waliojitolea ,walikuja na kuendesha programu mbalimbali na walitozwa bei ndogo sana,jambo lililosaidia kumudu gharama zile. Muda mfupi baadae tawi la Shule ya Sabato lilifunguliwa na baadhi ya wakazi wa eneo lile walihudhuria.

Kwa upesi sana Mchungaji Frank alijifunza kuwa ,Mojawapo ya njia nzuri ya kusimika kanisa ni kwa kuanzisha huduma inayo yafikia mahitaji ya jamii husika,na baada ya hapo pandikiza kanisa kwa kupitia huduma hiyo.Huduma hii inayoihusisha jamii ilizaa waumini wa Waadventista wasabato Zaidi ya 140.Kisa cha Mchungaji Frank,kinaelezea kinachoweza kutokea iwapo tutayafuata mafundisho ya Yesu yakuzifikia jamii,Yesu aliishije kulingana na mafundisho yake ya kuifikia jamii?Juma lijalo tutaanza kuchunguza njia ya huduma ya Yesu,ambayo “itatoa mafanikio ya hakika katika kufikia watu”.Ellen G.White,Ministry of healing,uk.143.

KARIBUNI TUJADILI

Jumanne, 26 Julai 2016

KAMA KAWAIDA YAKE AFUNGUKA MAZITO

Mwenyekiti mpya wa CCM, Rais Dk. John Magufuli akitoa hotuba yake, baada ya kutawazwa kushika nafasi hiyo kwa kupata kuta asilimia mia kwa mia zilizopigwa na wajumbe wa mkutano mkuu maalum wa CCM uliofanyika leo mjini Dodoma, Picha zote na Bashir Nkoromo) KUONA PICHA ZAIDI YA 100 ZA MKUTANO MKUU 

RAIS DK. MAGUFULI APITA KWA KISHINDO NA KUTAWAZWA KUWA MWENYEKITI MPYA WA CCM LEO MJINI DODOMA





Mwenyekiti Mstaafu wa CCM, Jakaya Kikwete akimkabidhi moja ya vitendea kazi, Mwenyekiti mpya wa CCM, Rais Dk. John Magufuli baada ua Wajumbe wa mkutano Mkuu wa CCM, kumpitisha asilimia kwa mia ya kura, katika kumchagua leo katika ukumbi wa Dodoma Convetion.

SIYO YA KAWAIDA
HAKIKA CCM NI CHAMA DUME
Mwenyekiti Mstaafu wa CCM Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akimpongeza Mwenyekiti mpya wa CCM Rais Dk. John Magufuli baada ya wajumbe wa Mkutano Mkuu maalum wa CCM kumchagua kwa kura asilimia mia kwa mia.

CCM DODOMA, KTK UCHAGUZI WA MWENYEKITI WA CHAMA

MWENYEKITI mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM), Jakaya Kikwete ameandaliwa mapokezi makubwa na wanaCCM wilayani Bagamoyo kesho baada ya kung'atuka wadhifa huo, kwenye Mkutano Mkuu Maalum Dodoma.
Akielezea kuhusu mapokezi hayo mjini Dodoma jana, Katibu Mwenezi wa CCM, Wilaya ya Bagamoyo,Kassim Gogo alisema kuwa mapokezi hayo yataanzia Chalinze hadi Bagamoyo.

Alisema kuwa wanaCCM wa wilaya hiyo wanajisikia furaha sana kuona Jakaya Kikwete ambaye ni mzaliwa wa Kijiji cha Msoga, wilayani humo, ameng'atuka salama baada ya kukitumia chama na serikali kwa miaka kumi.

Alisema kuwa jambo lingine linalowapa faraja ya kuandaa mapokezi hayo ni kwamba Jakaya Kikwete ameng'atuka uongozi kwa kukiacha chama salama na nchi ikiwa salama pia.

Gogo, alisema kuwa katika mapokezi hayo watakuwepo madiwani wote wa wilaya hiyo, viongozi wa CCM, wabunge wote wa Mkoa wa Pwani na wananchi. 

Alisema kuwa wakati wa hafla hiyo pia Mwenyekiti mstaafu, Kikwete atakabidhiwa zawadi mbalimbali ikiwemo kumvisha gwanda ili awe mlezi wa CCM Mkoa wa Pwani.

Katika sherehe za mapokezi zitakazofanyika mbele ya Makao Makuu ya Ofisi za CCM za wilaya hiyo zilizopo Bagamoyo Mjini, patakuwepo ngoma za asili ya makabila ya Wakwere, Wazaramo na Wazigua pamoja na wasanii mbalimbali pia watatumbuiza.

Alisema kuwa Kikwete akiwa amepumzika baada ya kung'atuka, watapata wasaa wa kuchota hekima na burasa zake ya jinsi ya kukiongoza chama hicho na serikali pia.

Msanii Jacquiline Wolper (katikati) ambaye mwaka jana alikuwa mmoja wa wasanii wapiga debe wa aliyekuwa mgombea urais kupitia Chadema, Edward Lowassa, akikaribishwa na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kushoto) na Mwenyekiti Mstaafu wa chama hicho, Jakaya Kikwete baqada ya kutangaza kujiunga na CCM akitokea Chadema juzi usiku wakati wasanii wakitumbuiza wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM, Dodoma. (PICHA NA KAMANDA  RICHARD MWAIKENDA)

 Msanii Jacquiline Wolper akifurahi alipokuwa akikaribishwa na Mwenyekiti mstaafu, Jakaya Kikwete baada ya kutangaza kujiunga tena na CCM akitokea Chadema jana usiku wakati wasanii wakitumbuiza wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM, Dodoma. Kulia ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana.
 

vichekesho 10 amazing leo

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia] 1. Kama hela haioti kwny miti, kwnn bank zina matawi? 2. Kwnn gundi haigandi kwenye chupa yake? 3. Kama tunatakiwa tusi-drive wkt tumekunywa, kwnn bar kuna parking? 4. Kama neno abbreviation linamaanisha ufupisho, kwnn lenyewe ni refu hvo? 5. Kama tunatakiwa kufanya sex ndani ya ndoa 2, kwnn tunabalehe kabla ya kufunga ndoa? Kazi kwako...


2.
Taxi Mwanamke aliingia kwnye tax akiwa hana nguo,km alivyozaliwa!Dereva akawa anamshangaa,mwanamke akamuuliza hujawahi kuona uchi au! Dereva akajibu.ninachoshangaa c uchi wako,najiuliza pesa ya kunilipa utakuwa umeiweka wapi?


3.
Siri Baba: mwanangu, enhe shika hii 500Tsh usimuambie mama yako kuwa nimelala na housegirl. Mtoto: sitaki, tatizo we baba ni mbahiri sana mwenzio mama akilala na dereva ananipaga 1,000Tsh.

4. Tendo la ndoa TENDO LA NDOA LINAVYOOMBWA: WAMASAI: Mama Yeyo nipe ile kitu namesa mwensake WAHAYA: Mama Koku infacti njoo tuperform WACHAGA: Mama Manka Fungua Kibubu nitupe shilingi WAPEMBA: Mama Ali panua paja mti waja! WAZARAMO:((hamna tafsida)andaa k*#, mb*$$ yaja

5. Short na Long Call Kama haja ndogo ni ''short call'' Haja kubwa ni "long call" Basi kujamba iitwe "missed call"


6. Heshima Mtoto kaona nyeti ya baba yake, Akauliza "nini hii"? Baba,akajibu "ni Heshima", kesho yake wakaja wageni, baba akamwambia mtoto, "toa heshima kwa wageni", mtoto akatoa Nyeti yake, akaonesha, wageni wakashangaa! mtoto akasema "mnashangaa haka kadogo, baba anayo heshima kubwaaa......!


7. Kurudi shule Mtoto kamuuliza babake; " Eti baba, Unataka kuanza tena shule? Baba akauliza: "kwa nini Umeuliza hivyo? Mtoto akamwambia: Jana uthiku, nilickia ukimnong'oneza mama" Eti, kama anapenda, Muende la pili..! " Hivi Baba mimi niko la nne wewe na mama itakuwaje mwende la pili? Uthikubali hata kdogo"

8. Mchaga. Mchaga alipata ajali alipozinduka pale hospitali akauliza "nipo wapi hapa?" Nesi akajibu,"umepata ajali, hapa upo hospitali. Bahati mbaya umekatika mkono." Mgonjwa: Na je saa yangu ipo wapi ya Rolex? Ipo mzee, nesi alijibu. Nesi: Mkeo na watoto wapo hapa kukufariji. Mgonjwa: Yeuwi... Wamefunga duka?


9. Kimombo na sms Jamaa katumiwa msg na dem wake,kutokana na urefu wa msg ikashindwa kufika yote mwishoni ikaandika'some text missing'jamaa kizungu hajui hivyo maneno ya mwisho hakuelewa maana yake lkn akahisi litakuwa neno la kimahaba,kusudi aonekane mjanja akajibu, "some text missing too dear"


10. Vibweka vya housegirl Mama mwenye nyumba "jamani nyie watoto wa nyumba hii, vijiti vya meno nimeleta juzi tu leo vimeisha?" Ndipo hoousgirl akadakia na kusema "mama mimi simo humo maana kila nikitumia nikimaliza tu navirudishiaga humo humo."

Alhamisi, 7 Julai 2016

SOMO LA KUPAJENGA PALIPOBOMOKA SEHEMU YA SITA

Ni mwendelezo wa somo la kupajenga palipobomoka, usisite kutoa maoni yako kupitia sehemu ya maoni hapo chini kwa masiliano zaidi piga simu 0712672894
 
6. KUSIMAMA IMALA KUMTETEA MUNGU KATIKATI YA CHANGAMOTO

Limeandaliwa na Lazaro K. Erick, Mkuu wa Mawasiliano TUCASA-STUM

FUNGU KUU: YEREMIA 1: 18-19

WIMBO NO: 127
Je unafahamu maisha yetu kuwa mazuri sio tu kwa kupata elimu ya dunia hii? Mungu ana njia maelufu ya kufanya mtu afanikiwe katika maisha ya duniani, Pia tunatakiwa kujua kuwa imetupasa kwanza kuutafuta ufalme wa Mungu na haki yake na haya mengine ya duniani ni zawadi tu toka kwa Mungu.
Ni kweli tunatakiwa kutafuta elimu ya kidunia kwani pia inatupa mwangaza wa maisha lakini pia tunatakiwa kujua kuwa pamoja na elimu ya kidunia tunayoipata inatakiwa kutuweka karibu na msalaba wa Yesu.
Daniel 3, Katika kitabu hiki ch Daniel sura ya tatu inatuonesha vijana watatu yaani Shadraka, Meshaki na Abednego walivyo jitoa kumsimamia Mungu katika nchi ya Ugenini, na hii ni baada ya kujaribiwa kutii kitu amacho kipo nje ya Maagizo ya Mungu. Moja kati ya amri za Mungu ni pamoja na kutaa kujifanyia sanamu za kuchonga na kuvisujudia kama tusomavyo katika Kutoka 20:4-5.
Vijana hawa walisimama kumtetea Mungu na hata bila kuogopa vitisho mbalimbali na vifo bali waliamua kuutangazia umati wa watu kuwa Mungu pekee ndie anayetakiwa kuabudiwa, Lakini mwisho wa yote vijana hao watatu walimuinua Mungu na Mungu naye akaja kuwainua na mpaka wakawa ni watu wenye maisha mazuri na watu wenye hekima kuu na kutegemewa sio nchini Babeli tu hadi hivi leo tunazisoma habari zao na zinatweka karbu na Mungu.
Ni kweli wana TUCASA imani yetu imekuwa ikipoa sana hasa tunapokuwa chuoni na kw bahati mbaya ikatokea mitihani imepagwa siku ya sabato hii ni sababu kubwa inayotufanya baadhi ya wasabato wengi hata wakiwa chuo hawataki kujulikana kuwa ni wasabato ili waendelee kuikanyaga amri ya kuiheshimu siku ya sabato.
Pia wengine japo tumekuwa ni wana TUCASA yaani wana chama kamili tumekuwa pia tukiendelea kufanya mitihan siku ya sabato au kusoma siku ya jumamosi hasa tunapokuwa tunakabiliana na mitihani, Hali tukijua kuwa Mungu wetu anaona yote ya wazi nay a sirini pia.
Ndugu mpedwa kumbuka hii ni dhambi ya wazi na inawezekana tumewafanya wengi wasio wasabato kushidwa kukata shauri ya kuungana na kanisa la Mungu kwa kuwa wamekuwa wakituona tukishiriki nao katika kuikanyaga amri hii kuu.
KUPAJENGA PALIPOBOMOKA NA KUPASIMAMISHA UPYA 2014/2015
TUCASA | Southern Tanzania Union Mission 20
ZINGATIA YAFUATAYO
1. Sio kwamba hao watu wanapotangaza kufanya mitihani siku ya sabato hawajui kuwa ni kinyume na mapenzi ya Mungu, jibu ni kwamba walio wengi wanatambua napengine wanafanya hivyo ili kujua imani zetu kuwa ni dhabiti au sio dhabiti mbele za Mungu
2. Lakin pia tujue kuwa hakuna aliye amua kumsimamia Mungu na kumtetea Mungu akamuacha, tuna ushahidi wa watu wengi waliofukuzwa chuo kwa sababu ya kusimamia ukweli wa biblia na bado wapo na wakiwa na maisha mazuri tu.
YEREMIA 1: 18-19
Hili ni tumaini kubwa kwetu na la faraja ya kuwa pamoja tunakutana na chanamoto za dunia hii,Mungu wetu ni wa huruma na upendo yeye anayetuwekea ulinzi wake mkubwa sisi tulio wadhambi , je vipi sasa tutapoamua kumtetea yeye ni hakika ataturinda daima na kututunza. Na hivyo watapigana nasi lakini hawatawezi maana yupo nasi ili atuoko.
TAFAKARI FUPI:
Inawezekana tumekuwa mbali na uso wa Mungu kwa ajili ya dhambi mbalimbali tunazozitenda za wazi na za siri , pia inawezekana tumeuwa msitar wa mbele kumuaibisha Mungu wetu katika swala la utunzaji wa sabato kwa kufanya mitihani mbalimbali na kuudhuria vipindi mbalimbali vya masomo, lakini Mungu amekuwa akituhurumia na kuendelea kutupakila kitu kinachostahiri kwetu, lakini ni Muda sasa wa kumwambia Munguya kuwa “NARUDI NYUMBANI ” wimbo no. 118 , tukiwa tunatafakari

Tunaendelea kuwaletea masomo mengine katika mpangilio wake, karibuni sana tunawategemea sana na Mungu awabariki sana!!!

Kupajenga palipobomoka sehemu ya Sita.

Ni mwendelezo wa somo la kupajenga palipobomoka, usisite kutoa maoni yako kupitia sehemu ya maoni hapo chini kwa masiliano zaidi piga simu 0712672894
 
6. KUSIMAMA IMALA KUMTETEA MUNGU KATIKATI YA CHANGAMOTO

Limeandaliwa na Lazaro K. Erick, Mkuu wa Mawasiliano TUCASA-STUM

FUNGU KUU: YEREMIA 1: 18-19

WIMBO NO: 127
Je unafahamu maisha yetu kuwa mazuri sio tu kwa kupata elimu ya dunia hii? Mungu ana njia maelufu ya kufanya mtu afanikiwe katika maisha ya duniani, Pia tunatakiwa kujua kuwa imetupasa kwanza kuutafuta ufalme wa Mungu na haki yake na haya mengine ya duniani ni zawadi tu toka kwa Mungu.
Ni kweli tunatakiwa kutafuta elimu ya kidunia kwani pia inatupa mwangaza wa maisha lakini pia tunatakiwa kujua kuwa pamoja na elimu ya kidunia tunayoipata inatakiwa kutuweka karibu na msalaba wa Yesu.
Daniel 3, Katika kitabu hiki ch Daniel sura ya tatu inatuonesha vijana watatu yaani Shadraka, Meshaki na Abednego walivyo jitoa kumsimamia Mungu katika nchi ya Ugenini, na hii ni baada ya kujaribiwa kutii kitu amacho kipo nje ya Maagizo ya Mungu. Moja kati ya amri za Mungu ni pamoja na kutaa kujifanyia sanamu za kuchonga na kuvisujudia kama tusomavyo katika Kutoka 20:4-5.
Vijana hawa walisimama kumtetea Mungu na hata bila kuogopa vitisho mbalimbali na vifo bali waliamua kuutangazia umati wa watu kuwa Mungu pekee ndie anayetakiwa kuabudiwa, Lakini mwisho wa yote vijana hao watatu walimuinua Mungu na Mungu naye akaja kuwainua na mpaka wakawa ni watu wenye maisha mazuri na watu wenye hekima kuu na kutegemewa sio nchini Babeli tu hadi hivi leo tunazisoma habari zao na zinatweka karbu na Mungu.
Ni kweli wana TUCASA imani yetu imekuwa ikipoa sana hasa tunapokuwa chuoni na kw bahati mbaya ikatokea mitihani imepagwa siku ya sabato hii ni sababu kubwa inayotufanya baadhi ya wasabato wengi hata wakiwa chuo hawataki kujulikana kuwa ni wasabato ili waendelee kuikanyaga amri ya kuiheshimu siku ya sabato.
Pia wengine japo tumekuwa ni wana TUCASA yaani wana chama kamili tumekuwa pia tukiendelea kufanya mitihan siku ya sabato au kusoma siku ya jumamosi hasa tunapokuwa tunakabiliana na mitihani, Hali tukijua kuwa Mungu wetu anaona yote ya wazi nay a sirini pia.
Ndugu mpedwa kumbuka hii ni dhambi ya wazi na inawezekana tumewafanya wengi wasio wasabato kushidwa kukata shauri ya kuungana na kanisa la Mungu kwa kuwa wamekuwa wakituona tukishiriki nao katika kuikanyaga amri hii kuu.
KUPAJENGA PALIPOBOMOKA NA KUPASIMAMISHA UPYA 2014/2015
TUCASA | Southern Tanzania Union Mission 20
ZINGATIA YAFUATAYO
1. Sio kwamba hao watu wanapotangaza kufanya mitihani siku ya sabato hawajui kuwa ni kinyume na mapenzi ya Mungu, jibu ni kwamba walio wengi wanatambua napengine wanafanya hivyo ili kujua imani zetu kuwa ni dhabiti au sio dhabiti mbele za Mungu
2. Lakin pia tujue kuwa hakuna aliye amua kumsimamia Mungu na kumtetea Mungu akamuacha, tuna ushahidi wa watu wengi waliofukuzwa chuo kwa sababu ya kusimamia ukweli wa biblia na bado wapo na wakiwa na maisha mazuri tu.
YEREMIA 1: 18-19
Hili ni tumaini kubwa kwetu na la faraja ya kuwa pamoja tunakutana na chanamoto za dunia hii,Mungu wetu ni wa huruma na upendo yeye anayetuwekea ulinzi wake mkubwa sisi tulio wadhambi , je vipi sasa tutapoamua kumtetea yeye ni hakika ataturinda daima na kututunza. Na hivyo watapigana nasi lakini hawatawezi maana yupo nasi ili atuoko.
TAFAKARI FUPI:
Inawezekana tumekuwa mbali na uso wa Mungu kwa ajili ya dhambi mbalimbali tunazozitenda za wazi na za siri , pia inawezekana tumeuwa msitar wa mbele kumuaibisha Mungu wetu katika swala la utunzaji wa sabato kwa kufanya mitihani mbalimbali na kuudhuria vipindi mbalimbali vya masomo, lakini Mungu amekuwa akituhurumia na kuendelea kutupakila kitu kinachostahiri kwetu, lakini ni Muda sasa wa kumwambia Munguya kuwa “NARUDI NYUMBANI ” wimbo no. 118 , tukiwa tunatafakari

Tunaendelea kuwaletea masomo mengine katika mpangilio wake, karibuni sana tunawategemea sana na Mungu

Somo la kupajenga palipobomoka

Ni mwendelezo wa somo la kupajenga palipobomoka, usisite kutoa maoni yako kupitia sehemu ya maoni hapo chini kwa masiliano zaidi piga simu 0712672894

5. MPANGO WA MUNGU KATIKA MAKUSANYIKO YA KIROHO.
Limeandaliwa na Basilio Maliwanga mhazini TUCASA-STUM
 
“wala tusiache kukusanyika pamoja, kama ilivyo desturi ya wengine; bali tuonyane; na kuzidi kufanya hivyo, kwa kadiri mwonavyo siku ile kuwa inakaribia.” Waebrania 10:25
UTANGULIZI NA MAANA YA KUSANYIKO LA KIROHO.
Mtunzi wa zaburi huanza katika sura ya 133 kwa kuema, “Tazama, jinsi ilivyo vema, na kupendeza, Ndugu wakae pamoja, kwa umoja.”fungu la 1. Mungu hufarahia pale ambapo watu wake hukutana na kukaa kwa pamoja kwa ajili yake. Ni haja ya Mungu kwamba mara kwa mara watu wake wakusanyike ili kuwa karibu nao.
Kusanyiko ( kwa kiingereza “assembly” au “congregation”) katika biblia hutokana na neno la kiebrania “qahal” au “ edah” (ambalo lilikuwa na maana ya kusanyiko takatifu la wanaisraeli lililowekwa kwa ajili ya shughuli takatifu ya kidini), na neno la kigiriki “sunago”( ambapo tunapata neno sinagogi).
Neno hili humaaanisha, mjumuiko wa watu katika eneo moja, waliokutana kwa lengo au kusudi moja. Webster anaelezea kusanyiko kama, kukutanika kwa kundi la watu kwa lengo la kumwabudu Mungu au kwa kufuata maelekezo ya kidini.1
MAKUSANYIKO KATIKA BIBLIA.
Biblia huonyesha kuwepo kwa makusanyiko katika zama zote yaani agano la kale na agano jipya. Katika agano la kale tunawaona wana Israeli wakikusanyika kwa pamoja kama ilivyo agizo la Mungu na kwa makusudi maalumu ya MUNGU. Katika Kutoka 12 tunaona Mungu akiwaagiza Israeli kukusanyika kwa pamoja siku ya kwanza na siku ya saba wakati akiandaa mpango wa ukombozi wao kutoka Misri. Hata walipokuwa jangwani katika kipindi cha miaka 40 Mungu aliwaagiza Israeli pia kukusanyika mara kwa mara mbele ya hema ya kukutania kwa makusudi mbalimbali ya kidini. Katika sikukuu mbalimbali za wanaisraeli kulihusisha watu kukusanyika kwa pamoja mara kwa mara (ambapo biblia huyaita makusanyiko matakatifu, walawi 23:4) kwa makusudi maalumu. (Soma Mambo ya walawi 23). Hata kipindi cha mitume
1 Noah Webster‟s Dictionary of 1828.
KUPAJENGA PALIPOBOMOKA NA KUPASIMAMISHA UPYA 2014/2015
TUCASA | Southern Tanzania Union Mission 15
pia kulikuwa na makusanyiko mbalimbali ya kiroho ambapo watu walikuwa wakikutana katika masinagogi au majumbani kwa lengo au kusudi maalumu la kiroho (Matendo 12:12)
KWANINI MUNGU HUTAKA WATU WAKE WAKUSANYIKE KWA PAMOJA?
1. Kwa ajili ya kukutana nao katika makusanyiko hayo. Makusanyiko ni njia mojawapo ambayo MUNGUameiweka ili akutane na watu wake na kuwajenga kiroho.
2. Kumjifunza MUNGU kwa njia ya kujifunza neno lake. Katika mathayo 5 (wengi hupenda kuiita hotuba ya mlimani), Yesu alikuwa mlimani pamoja na kusanyiko kubwa sana la watu ambao wamekaa wakiwa wanamsikiliza kile ambacho anakisema. Biblia huanza kwa kusema, “Naye alipowaona makutano, alipanda mlimani; na alipokwisha kuketi wanafunzi wake walimjia; akafumbua kinywa chake, akawafudisha” fungu la 1 na 2. Mwalimu huyu mkuu alikuwa akitumia makusanyiko haya kwa lengo la kuwafundisha watu neno la MUNGU pamoja na kuwatoa katika vifungo vyao kwa njia ya neno hilo. Lakini hata mitume walitumia makusanyiko kwa ajili ya kufundishana neno la MUNGU wao kwa wao, lakini pia kwa wasioamini. Katika matendo sura ya 10 tunamuona Petro katikati ya kusanyiko katika nyumba ya kornelio,” Na Kornelio alikuwa akiwangojea, hali amekusanya jamaa zake na rafiki zake”fungu la 24. Petro alifundisha neno la MUNGU nyumbani kwa kornelio na mwisho watu hawa walibatizwa. (soma pia Matendo 17:1-4)
3. Mungu kudhihirisha nguvu na uweza wake kwa wanadamu ili wapate kuamini na kupata wokovu. Katika matendo 2 baada ya wanafunzi wa Yesu kukaa orofani na kusali na kuomba, katika siku ya pentekoste Mungu alidhihirisha nguvu zake na uwezo wake katika kusanyiko lao baada ya kumwaga nguvu ya Roho mtakatifu juu yao. Biblia huanza kwa kusema, “Hata ilipotimia siku ya pentekoste walikuwako wote mahali pamoja.”fungu la 1. Lakini kwa upande mwingine, Mungu pia alidhihirisha nguvu na uwezo wake hata katika watu ambao walikuwa hawaamini na hawana habari yoyote juu ya Yesu waliokuwepo Yerusalemu. Baada ya mitume kujazwa nguvu ya Roho mtakatifu “wakaanza kusema kwa lugha nyingine kama Roho alivyowajalia kutamka”. Lugha walizokuwa wanazizungumza zilikuwa za watu wa mataifa mbalimbali waliokuwepo mahali pale. Kusanyiko lile lote likashikwa na mshangao. Lakini petro akasimama na kuanza kuihubiri Injili ya Yesu kwa watu hawa. Paulo anaandika anasema, “Kwa maana
KUPAJENGA PALIPOBOMOKA NA KUPASIMAMISHA UPYA 2014/2015
TUCASA | Southern Tanzania Union Mission 16
siionei haya Injili; kwa sababu ni uweza wa Mungu uuletao wokovu, kwa kila aaminiye, kwa Myahudi kwanza, na kwa Myunani pia.” Rumi 1:16. Neno “uweza” lililotumika hapa ni neno la kiyunani “Dunamis” ambalo humaanisha nguvu iwezayo kutenda miujiza na maajabu, nguvu yenye uwezo mkubwa wa kubadilisha kitu au mtu. Ndio maana tunaona baada ya Petro kumaliza mahubiri yake katika kusanyiko hili watu 3,000 walibadilishwa na kufanywa upya nia zao na kumwelekea Kristo.
4. Kumwekea Mungu haja zetu na kufanya maombi. Katika makusanyiko pia kunaweza kuwa ni mahali ambapo watu wa MUNGU huweza kufanya maombi na kumwekea MUNGU haja zao. Katika matendo 1 tunaona Yesu akiwapa agizo wanafunzi wake kabla ya kupaa, juu ya kukusanyika pamoja Yerusalemu na kutokutoka nje ya Yerusalemu. Biblia huonyesha kuwa wanafunzi walikusanyika kwa pamoja orofani “wakidumu kwa moyo mmoja katika kusali” fungu la 14. Katika kusanyiko hili sio tu kwamba wanafunzi walikusanyika bali walikuwa wakisali na kumwomba Mungu. Vilevile tunamuona Mfalme Yehoyakimu akiwakusanya wanaisraeli na Yuda kwa ajili ya kumwomba na kumsihi MUNGU awaokoe juu ya majeshi ya wana wa Moabu na Amoni waliojipanga kupigana na Israeli. Biblia inasema, “Yuda wakakusanyika kwa pamoja ili wamtafute BWANA, hata kutoka miji yote ya yuda wakaja kumtafuta BWANA.” 2nyakati 20:4 (soma 2nyakati 20:1-13). Yesu aliwaambia wanafunzi wake kuwa, “Tena nawaambia, ya kwamba wawili wenu watakapopatana duniani katika jambo lo lote watakaloliomba, watafanyiwa na Baba yangu aliye mbinguni, Kwa kuwa walipo wawili watatu wamekusanyika kwa jina langu, nami nipo papo hapo katikati yao.” Mathayo 18:19, 20. Kwa maana nyingine Yesu anasema mnaweza kukusanyika wawili watatu na kufanya maombi na Baba yangu wa mbinguni atawasikia na kuwajibu.
5. Kutoa shukrani kwa Mungu: Mungu hutumia makusanyiko ya kiroho kama njia mojawapo ambapo watu wake huweza kutoa shukrani zao kwa kile ambacho wametendewa na MUNGU, Kumbukumbu la torati 16:16, “Mara tatu kwa mwaka na watokee wanawaume wako wote mbele za Bwana, Mungu wako, mahali atakapochagua; katika sikukuu ya mikate isiyotiwa chachu, na katika sikukuu ya majuma, na katika sikukuu ya vibanda; wala wasitokee mbele za Bwana mikono mitupu.” Hapa tunaona Mungu akiwaagiza Israeli ili kukutanika mara tatu kwa mwaka lakini akiwaambia “wala wasitokee mbele za Bwana mikono mitupu.” Maana yake waje na matoleo mbalimbali
KUPAJENGA PALIPOBOMOKA NA KUPASIMAMISHA UPYA 2014/2015
TUCASA | Southern Tanzania Union Mission 17
kwa ajili ya kutoa shukrani zao kwa BWANA. Kusanyiko takatifu la sikukuu ya vibanda lilikuwa maalumu kwa wana Israeli kuja kumtolea Mungu wao dhabihu kama shukrani kwa kile alichowatendea kwa kipindi cha mwaka mzima. “From far and near the people came, bringing in their hands a token of rejoicing. Old and young, rich and poor, all brought some gift as a tribute of thanksgiving to Him who had crowned the year with His goodness, and made His paths drop fatness.” 2
MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA UNAPOPANGA KUHUDHURIA KATIKA MAKUSANYIKO.
1. Ni lazima uombe ili uwepo wa MUNGU uwepo katika kusanyiko hilo: Biblia husema, “Kwa kuwa walipo wawili watatu wamekusanyika kwa jina langu, nami nipo papo hapo katikati yao” Mathayo 18:20. Mahali pengine husema, “Basi “Bwana”; ndiye Roho; walakini alipo Roho wa Bwana, hapo ndipo penye uhuru. 2korintho 3:17. Ni lazima tuhakikishe kuwa katika kusanyiko hilo panafunikwa na kuzungukwa na uwezo na nguvu za Mungu. Kumbuka lengo mojawapo la makusanyiko ni ili watu wa Mungu wawekwe huru kutoka katika vifungo vyao mfano, vifungo vya maradhi, dhambi n.k. kwa hiyo ni muhimu sana kabla ya kuhudhuria katika kusanyiko lolote lile kumuomba Mungu awepo na kutangulia katika kusanyiko hilo. Daudi anaandika katika zaburi 16:8 anasema, “Nimemweka Bwana mbele yangu daima, Kwa kuwa yuko kuumeni kwangu, sitaondoshwa.”
2. Kujua hasa kusudi la Mungu kwako „binafsi‟ katika kuhudhuria katika kusanyiko hilo: Ijapokuwa tumeona kuwa kuna makusudi mbalimbali ya Mungu katika makusnyiko haya ya kiroho, lakini kwa upande mwingine Mungu huwa na makusudi tofauti tofauti kati ya mtu mmoja na mwingine katika kuhudhuria makusanyiko haya ya kiroho. Hivyo ni jambo la muhimu sana kumuuliza Mungu wewe binafsi kile alichokipanga juu yako katika kusanyiko hilo la kiroho. Ijapokuwa kuna makusudi ya ujumla (General purposes) lakini kumbuka kuwa kuna makusudi maalumu ya mtu mmoja mmoja (Special purposes) ya MUNGU katika makusanyiko haya.
2 White .E. G. ( ). Tumaini la vizazi vyote.
KUPAJENGA PALIPOBOMOKA NA KUPASIMAMISHA UPYA 2014/2015
TUCASA | Southern Tanzania Union Mission 18
HITIMISHO.
Biblia inasema, “Pasipo maono, watu huacha kujizuia; Bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.” Mithali 29:18 maana yake tusipojua kwa hakika ni nini ambacho Mungu amepanga tukutane nacho katika kusanyiko hilo tutashindwa kujizuia (kiingereza fungu hili huandikwa, Where there is no vision, the people perish [KJV]). Shetani anaweza kutumia mwanya huo wakutokufahamu hasa kusudi la MUNGU kwangu na kwako ili kutuangamiza.
Petro hutukumbusha kuwa, “Mwe na kiasi na kukesha; kwa kuwa mshitaki wenu Ibilisi, kama simba angurumaye, huzunguka-zunguka, akitafuta mtu ammeze.” 1petro 5:8.Tukumbuke kuwa shetani yupo wakati wote akitutamani sana kutumaliza na kutupoteza, hivyo hata tunapokuwa katika makusanyiko mbalimbali ya kiroho hukaa karibu akimtafuta mmoja asiyejua hasa kwanini yupo katika kusanyiko hilo amrubuni na kumpatia malengo au makusudi yake yeye mwenyewe katika kusanyiko hilo.
Liwe ombi la kila mmoja wetu kwa MUNGU ili atufunilie ni kipi hasa anataka tukutane nacho katika makusanyiko mbalimbali ya kiroho.
Mungu atubariki na kutusaidia tunapojiandaa kuhudhuria katika makusanyiko mbalimbli ya kiroho na kukutana naye huko. Amen .
 INAENDELEA..................

Kupajenga palipobomoka sehemu ya nne

 Ni mwendelezo wa somo la kupajenga palipobomoka, usisite kutoa maoni yako kupitia sehemu ya maoni hapo chini kwa masiliano zaidi piga simu 0712672894
 
4. ZINGATIA USIJE UKAMKOSA YESU!
Limeandaliwa na Mabula Charles Lukamaja, Makamu Mwenyekiti - TUCASA STUM

„Dear youth, I wish to speak decidedly to you, because I want you to be saved.‟--Messages to Young People, p. 140.

Ni hasara jinsi gani, kumtumikia Mungu na kuwa mwanaTUCASA halafu ukose uzima wa milele?
Yawezekana tunadhani kuwa na mahusiano sahihi na mwokozi wetu lakini kumbe ni kinyume.
Kisa cha kijana tajiri alipoambiwa “ …enenda, ukauze ulivyo navyo vyote, uwape maskini... kisha njoo unifuate.” Marko 10:21 kilidhihirisha kuwa hakuwa na mahusiano sahihi na Mungu aliyemwamini. Kijana tajiri alikuwa ametoa vyote kwa Mungu isipokuwa kwa habari ya mali.Yesu akamkazia macho, akampenda, akamwambia, Umepungukiwa na neno moja… Marko 10:21
Kama ilivyo kwa wanandoa na wachumba wengi wasiowaaminifu, ambao hukiri kuwa wazi na wakweli kwa wenzi wao, huku wakificha jambo au hali Fulani….ndivyo ilivyo kwa Mungu wetu tumwambiapo „I surrender all to you‟ wakati baadhi ya mali, fikara na matendo yetu hatujamkabidhi.
Mpenzi kijana; Utumiaji wa denser/ vimeo/ nondo/ chabo/ fantom/ migi/ kikumbushio/ nyoka/ mbwa/ nk…katika mitihani ni udhihirisho wa mahusiano ya chati na Mwokozi. Je, kuna faida gani ya kupata alama za juu ukakosa uzima wa milele? Kristo anahitaji tumtegemee, na ikiwa unatumia siku 6(sita) tulizopewa kwa uaminifu, ni hakika hutafeli mtihani wowote hata uwe mgumu kiasi gani; na kama si hivyo, kwa ujasiri sema, Ee mfalme (yaani shetani na mawakala wake), mimi sikubali kuitumikia miungu yako, wala kuisujudia, sitaibia majibu wala kutumia mwili wangu kwa ajili hiyo.Daima muinue Mungu. Acquire moral stamina by saying, "I will not dishonor my Redeemer."--TSB 128. {PaM 59.1}
Mpenzi mwanaTUCASA; Kuchat na opposite sex hata usiku wa manane, kunakopelekea uharibifu wa afya, kuamka mchovu na kuamsha mihemko ya kimwili (hisia kali za kimahaba) kunaweza kukufanya umkose Yesu. Je, ungependa iwe hivyo? Yesu anakuja! Tafakari, chukua hatua. Heavenly angels examine the work that is put into our hands; and where there has been a departure from the principles of truth, "wanting" is written in the records. {CG 154.3}
Mazungumzo yaangamizayo roho na akili yatazuia kumpata Yesu. With many young ladies the boys are the theme of conversation; with the young men, it is the girls…They talk of those subjects upon which their minds mostly ruin. The recording angel is writing the words of these professed Christian boys and girls. How will they be confused and ashamed when they meet them again in the day of God!…. 2T 460 (1870). {1MCP 300.1}
Kudharau nyakati za ibada, semina na mikutano ya kanisa, ku-chat (kupiga soga) wakati wa ibada, kuchelewa katika ibada limekuwa jambo la kawaida kwa wanadamu waishikao Sabato.
KUPAJENGA PALIPOBOMOKA NA KUPASIMAMISHA UPYA 2014/2015
TUCASA | Southern Tanzania Union Mission 12
“There are children of Sabbathkeepers who have been taught from their youth to observe the Sabbath. Some of these are very good children, faithful to duty as far as temporal matters are concerned; but they feel no deep conviction of sin and no need of repentance from sin. Such are in a dangerous condition…” {CG 218.1}
Kupuuzia toba na kujifanya kana kwamba hukutenda dhambi, kudharau mashauri na kanuni za uvaaji na mavazi ni hali ya hatari kwa alitajaye jina la Mwokozi huku akidai kuwa msafiri wa mbinguni.
Mpendwa, kukataa kazi ya uvunaji wa roho, kukata tamaa katika maombi, kusoma na kutafakari neno kutawakosesha wengi kumpata Kristo. Matumizi mabaya ya muda kwa wavulana na wasichana sharti kukome… in view of the great work to be done, how can any one afford to waste precious time and God-given means in doing those things that are not for his best good or for the glory of God?--The Youth's Instructor, August 14, 1906. {MYP 286.2}
Shuhuda zisizomuinua Kristo, zenye vichekesho na kuongeza umaarufu wa mtu binafsi, utani, vichekesho, masomo na misemo isiyo na maana katika mimbari (pulpit) ni hatari kwa afya yako ya kiroho.Maelfu wangekuwa wameongolewa ikiwa mimbari zingetumika vyema. Thousands more might have been saved if men had preached the word, instead of the maxims, philosophies, and doctrines of men. If from every pulpit had sounded the faithful truth of God, men would have been left with a better knowledge of the Bible, with a deeper conviction of the truth of its principles, and the reality of its promises; and far more might have come to an understanding of what is truth…{RH, April 24, 1888 par. 16}. Simama imara usije ukamkosa Yesu.
Viongozi wapotezao wito wao na kuwaona wanaTUCASA watendao maovu ya wazi kuwa wadhambi wasiositahili kuwemo kundini ni uasi mkuu. Kristo anachukia dhambi ila anawapenda wadhambi. Ni mhimu kuomba kuwapenda wadhambi na kutumia njia alizotupatia Mungu kuwaongoza katika kweli na nuru yote.Every one who loves God in sincerity and truth, will love the souls for whom Christ has died. Pg 282, Chap. 36 - Suspension of Students, Ellen g white writings, 2008
Viongozi na wahudumu wawaongozao watu katika hekima yao wenyewe wanajiandaa kumkosa Yesu kwa kujipalilia uangamivu wao wenyewe. Those who profess to have light from the Lord, who win the confidence of men, and lead souls to ruin, will bring swift destruction upon themselves…They talk of grace, they preach of grace, apparently they pray for grace; but they have not the grace of Christ in their hearts. In the pulpit such ministers may appear to be excellent; but they destroy the force of their words when out of the pulpit by such a course of iniquity that they prove themselves to be ministers of sin, wolves in sheep's clothing. Mrs Ellen White {ST, July 18, 1892 par. 4}
Zingatia usije ukamkosa Yesu kwa ukosefu wa uaminifu. Mungu anahitaji kuhusiana na wanaTUCASA waaminifu chini ya bendara yake; ambao ndimu zao husema kweli, macho yao husema kweli na matendo yao husema kweli.Wenye ndimi ambazo kamwe hazibubujishi hata sembe moja ya uongo. Ooh, wengine watakuwa waaminifu when it costs nothing lakini sera/siasa ikilipa uaminifu huharibika naam mtu huhama NJIA KUU.
KUPAJENGA PALIPOBOMOKA NA KUPASIMAMISHA UPYA 2014/2015
TUCASA | Southern Tanzania Union Mission 13
Ni kweli kuwa, wale watakaoushikilia uaminifu kwa kiasi kikubwa …hawakubaliki na jamii ya wanadamu lakini kwa Mungu ni wazuri (beautiful) – mar 228.2.Hivyo lazima tufikie viwango vikuu vya ukristo. God wants men in His service, under His banner, to be strictly honest, unimpeachable in character, that their tongues shall not utter a semblance of untruth. The tongue must be true, the eyes must be true, the actions wholly and entirely such as God can commend. We are living in the sight of a holy God, who solemnly declares, "I know thy works." The divine eye is ever upon us. We cannot cover one act of unjust deal from God. The witness of God to our every action is a truth which but few realize. {CG 152.2}
Usomaji wa magazeti, tamthiliya na riwaya zenye hadithi na simulizi ambazo mara zote ni mawakilisho toka kwa wakala wa shetani ni hatari kwa afya yako ya kiroho. Utazamaji wa picha zisizofaa itakuwa kikwazo kumpata Yesu. Ni lazima mwanaTUCASA usome kilicho kweli na chenye thamani ya umilele. Dear youth, cease to read the magazines containing stories. Put away every novel . . . We would do well to clear our houses of all the story magazines and the publications containing ridiculous pictures --representations originated by satanic agencies. The youth cannot afford to poison their minds with such things. "What is the chaff to the wheat?" Let every one who claims to be a follower of Christ read only that which is true and of eternal value. {MYP 286.1}
Dear youth, in order not to lose JESUS, notice the above and that;-
We are nearing the close of time. We want not only to teach present truth in the pulpit, but to live it out of the pulpit. Examine closely the foundation of your hope of salvation.--"Testimonies for the Church," Vol. V, page 530. Let your clothing be plain, neat, comfortable, and of good material.--TM 180. {PaM 63.3}
Now is the time to work. If we are children of God, as long as we live in the world God will give us our work. We can never say we have nothing to do so long as there remains a work undone. {PH013 29.2}
Dear youth… "Present your bodies a living sacrifice, holy, acceptable unto God, which is your reasonable service." Stand forth in your God-given manhood and womanhood… The youth of today whose principles are firm and unwavering will be blessed with health of body, mind, and soul. --The Youth's Instructor, July 9, 1903.
Dear brethren, pray as you never before prayed for beams from the Sun of Righteousness to shine upon the word, that you may be able to understand its true meaning. {CSA 70.2}
Keep your wants, your joys, your sorrows, your cares, and your fears before God. You cannot burden Him; you cannot weary Him.--Steps to Christ, p. 100.
Take reproof as from God, take counsel and advice given in love.--Letter 30, 1875.
Be true to God, true to principle, and thus true to yourselfself and to all with whom they are connected . . . {CG 325.3}.
INAENDELEA.............................

Kupajenga palipobomoka sehemu ya tatu

Ni mwendelezo wa somo la kupajenga palipobomoka, usisite kutoa maoni yako kupitia sehemu ya maoni hapo chini au wasiliana kwa 0712672894

3. EFFORT NDEFU KULIKO ZOTE
Limeandaliwa na Rwabuhanga Werema M/kiti-Tucasa ETC
 
“Na yakuwa tangu utotoni umeyajua maandiko matakatifu,ambayo yaweza kukuhekimisha hata upate wokovu kwa imani iliyo katika Kristo Yesu .” 2 Timotheo 3:15.

Jitihada za dhati za wale ambao tayari walishaipokea nuru ya Yesu Kristo na kwa nia ya dhati wakawa na msukumo ndani ya mioyo yao unaowataka kutenda nao wakatii na kuwaelekeza wanadamu wasiomwamini Yesu na kutii kwa uaminifu amri zake, ya kwamba wamwamini na kuziacha njia zao mbaya na wajiandae kwa siku ile iliyo kuu yenye kutisha. Kwa namna hii tunasema juhudi na jitihada hizo ni effort. Mcheni Mungu na kumtukuza kwa maana saa ya hukumu yake imekuja msujudieni yeye aliyeziumba mbingu na nchi na bahari na chemichemi za maji Ufunuo 14:7
Nuhu ni mmoja wa watu wa Mungu wanaoshuhudiwa na biblia kuwa walifanya effort kwa mda mrefu sana. Ni ukweli usiopingika hata kidogo kwamba waadventista tuna nuru kubwa ajabu yenye uwezo wa kulifukuza giza upesi.
Maisha yetu katika jamii inayotuzunguka ni effort ya pekee sana na ndefu kuliko zote katika kizazi hiki. Tangu tulipoongoka hadi sasa maisha yetu, matendo yetu na mwenendo na mzungumzo yetu ni effort nzuri yenye uwezo wa kuwaleta watu wengi sana toka gizani na kuja kwa Yesu. Hebu nijiulize swali hili; tangu nilipoongoka hadi leo hii wangapi kupitia maisha yangu wamemuona huyu Yesu tunayemtaja kila siku,waliobatizwa ni wangapi, wangapi wamebarikiwa na namna wanavyo akisiwa na ile nuru njema toka kwa Yesu ? Effort ngapi nimezifanya kupitia maisha yangu zanye nia madhubuti ya kulitukanisha jina la huyu Yesu tunayejiita kwamba nasi tu wafuasi wake!
Tujifunze mfano toka kwa viumbe vya asili. Maua yana maisha mafupi sana lakini huwavuta watu wa kila namna. Utayakuta maua kwenye meza za wafalme, kwenye ofisi za wenye mamlaka na katika sehemu zote zenye kuheshimiwa. Macho ya watu hayachoki kuyaona maua. Huwavutia hata wadudu kwa aina zao, vipepeo, nyuki n.k. Wengi hupenda kupiga picha katika mazingira yenye maua. Hii ni kwa sababu ya mvuto,harufu na mg‟oro mzuri wa maua. Mfalme Sulemani ambaye hajawahi kutokea tena mfalme yeyote kama yeye hata leo, katika maisha yake yote hakuwahi kuvikwa uzuri wa kupendeza unaozidi maua Mathayo 6:29 .Jambo la ajabu ni kuwa pamoja na uzuri wote na tabia nzuri maua hayana maisha marefu kama yangu na yako.
Kama ningekuwa na tabia nzuri kama maua na uwezo wa kutumia vizuri talanta nilizopewa na Mungu , tangu nilipoongoka ningekuwa nimewaleta wangapi kwa Yesu? Matendo yangu nananukiaje chuoni kwangu, yanaukiaje kanisani kwangu, darasani kwangu yanaukiaje, nyumbani na kwa jamii inayonizunguka yanaukiaje? Je, ninatofauti gani na bomba la maji taka lililotoboka na kuchuruzisha uozo na harufu mbaya mahali ambapo sio haikutarajiwa iwe hivyo na sasa hakuna anayetamani kuwa mahala hapo. Hakuna anayetamani kuwa karibu na mimi,wewe kwa mda merefu, mara ngapi waadventista tumeitwa wanafiki! Mjumbe wa Mungu Elen White anasema“ Tuna haja ya kuwafikia watu, iwe ni shauku yetu kuhakikisha kwamba
KUPAJENGA PALIPOBOMOKA NA KUPASIMAMISHA UPYA 2014/2015
TUCASA | Southern Tanzania Union Mission 10
wadhambi wajutie dhambi zao na watubu kabla ya muda wao wa kuokolewa haujaisha na mwisho wakawa katika kuomboleza wakisema „wakati wa mavuno umepita wakati wa hari nao umepita wala sisi hatukuokoka. ” 1Testmonies for the Church pp 51.
Maisha yangu na na yako ni effort nzuri na yenye mda wa kutosha. Kama tukikubali kufanya matengenezo na kubadilika maisha yetu yataipindua jamii tunayioshi juu chini. Tutashuhudia matokeo chanya yatakayoletwa na Roho mtakatifu. Maandiko matakatifu yanashuhudia kuwa tangu utoto wako (kuongoka kwako) umeyafahamu maandiko ambayo yanaweza kukuhekimisha katika Kristo Yesu. Mpendwa katika Kristo tumepewa agizo la kuwafanya mataifa yote kuwa wanafunzi, ni ole wangu na wako kama tusipotii agizo hilo. Mpenzi, Mungu akutie nguvu, upate badiliko litakaloleta matokeo chanya kwa Kristo na mwisho wa safari yetu mbingu zitushuhudie Mungu wetu akituambia “vema mtumwa mema ulikuwa mwaminifu kwa machache ingia katika furaha yangu.

SOMO HILI LINAENDELEA.................

Kupajenga palipobomoka sehemu ya pili.

Ni mwendelezo wa Masomo ya kupajenga palipobomoka, kama kuna maswali usisite kuwasiliana nami kupitie nafasi ya maoni hapo chini au kupitia namba hizi 0712656298 na 0712672894.
hakimiliki Tucasa stum 2014/2015
 
2. MWANA-TUCASA NENO NA MAOMBI BINAFSI
Limeandaliwa na Frank Mwita Edward, Katibu msaidizi TUCASA-STUM
(Hebu waalike washiriki kusali sala ya Baba yetu kabla na baada ya kuanza somo hili)
Maombi ni kitendo cha kufungua moyo kwa Mungu kama rafiki. Si kwa kuufanya ufahamike kwa Mungu kwamba ukoje la! Bali ni kwa ajili yetu kuwa tayali kumpokea. Maombi hayamshushi Mungu chini baali hutuinua sisi juu mbinguni.
Maombi ni mukondo wa mawasiliano kati ya nafsi zetu na Mungu. Mungu anasema nasi kupitia neno lake takatifu [Biblia] nasi huitikia kwa njia ya maombi, yatupasa kujifuza nguvu ya maombi. Mungu yupo tayali kusikiliza na kujibu maombi ya kicho bila kujali hali zetu. Kwa maana yeye ni Baba wa upendo „‟1Yh 4:16…Mungu ni upendo, naye akaaye katika pendo, hukaa ndani ya Mungu…‟‟.
Kristo alipokuwa hapa duniani aliwafundisha wanafunzi wake kwa kipindi hicho namna ya kusali na sisi kama wanafunzi wake wa kipindi hiki yatupasa kusali hivyo soma Mt 6:9-13. Sala hii ndiyo inapaswa kuwa kanuni ya sala zetu zote, lakini cha kushangaza sala hii imekuwa ikinukuliwa bila tafakuri tena kwa kufukuzana ni nani atakaeimaliza mapema kuisoma huku aliepewa kuomba kama mtangulizi ameomba ombi refu sana ndipo humalizia kwa kusema „‟Nanyi mkiwa katika kusali, msipayuke-payuke, kama watu wa mataifa…‟‟ Bali salini hivi, sasa anaachia mashindano. Swali ambalo nimekuwa nikijiuliza mbali na mwendokasi huu ni kwamba je tunazingatia sala hii sawa na hitaji la Yesu alivyo tuachia kama kielelezo cha sala zetu zote?
Leo ningependa kukualika tujifuze sala hii kwa mapana yake.
Baba yetu uliye mbinguni, Jina lako litukuzwe, Hapana baba mwingine wala jina lingine lifaalo kutukuzwa katika maisha yako isipokuwa Baba wa mbinguni [MUNGU] Kut 20:1-3, na utalitukuza pale tu utakapokaa ndani yake nae ukamruhusu ndani yako siku zote za maisha yako tena ataonekana katika maisha yako halisi ya kila siku Yh 15:4 popote utaenda nae, uingiapo na kutoka.
KUPAJENGA PALIPOBOMOKA NA KUPASIMAMISHA UPYA 2014/2015
TUCASA | Southern Tanzania Union Mission 6
Ufalme wako uje, Ufalme wa Mungu hautakuja kamwe hadi neno lake limehubiriwa kwanza Mt 28:19, Mdo 1:8, 1Pet 2:9-10. Jiulize wewe ndani ya kanisa la Mungu umeshiriki kiasi gani katika kutimiza wito huu wa Kristo ulimwenguni wa kuwaeleza wengine tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu? Kama bado ni wakati wako sasa kutekeleza sawa na sala hii.
Mapenzi yako yatimizwe, hapa duniani kama huko mbinguni, Ni mara ngapi umetaja maneno haya lakini tayali una msitakabali wa ombi lako? Na pengine unayasema ili kukamirisha ombi lakini humaanishi mapenzi ya Bwana kutimizwa, bali mapenzi yako kutimizwa? [Mwombaji] jifunze katika ombi la kiwete huyu mwenye umri wa miaka arobaini [kama ni kiwete kutoka tumboni mwa mama yake, inamaana amehangaika kwa muda wa miaka 40 akitafuta uponyaji] kwa watumishi wa Mungu na majibu ya ombi lake (Ellen G. White-The Act of the Apostles chpt6,ppg57) Mdo 3:1-8 ambaye hapo awali alitazamia kupata sadaka lakini sasa anasikia sauti ikisema mimi sina fedha wala dhahabu, binafsi ninaona kama kiwete huyu, maana hakutajwa jina lake kama vile anaishiwa nguvu za kuwaangalia lakini hakukata tama kuwatazama huku akijiuliza hili ndilo jibu la ombi langu kweli! Lakini kwa subira, maana hakuchoka kuwaangalia yeye alingoja hatima ya Petro na Yohana kwa mikono aliyokwisha kunyoosha, ndipo sauti ya matumini inasikika ikisema nilicho nacho ndicho nikupacho, nadhani hakuamini kama baada ya maneno yale ya awali tena ya kuchosha, maneno mazuri kama haya yangesikika kwake, mpendwa katikati ya kukata tama ya majibu ya maombi yako, wewe usishushe mikono kama huyu muombaji tena usichoke kumuangalia Bwana na usigeuze macho yako kwingineko, na ukiomba kuwa tayali kupokea lolote lililo bora machoni pa Mungu kwa moyo wa shukurani.
Utupe leo riziki yetu, Siku zote tambuya yakwamba Mungu ndiye mpaji wa yote, anaye tupatia mahitaji yetu yote, hivyo vitu vyote ulivyonavyo ni mali ya Bwana, Mt 7:11, Zab 24:1, Mhu 5:20, 6:2, 2Nya 1:12. Unapotambua kuwa Bwana ndiye mtoaji hivyo imekupasa kukiri kwa kumrudishia sehemu ya kumi ya pato lako halali Ml 3:10. Kama sala hii uliitaja hapo awali bila ya kutambua hili ni wakati wako sasa wa kujenga palipobomoka.
Utusamehe deni zetu, kama sisi nasi tuwasamehevyo wadeni wetu, [soma Mt 6:14-15… msipowasamehe watu wengine makosa yao, wala Baba yenu hatawasamehe ninyi makosa yenu] katika hilo fungu, na hapa ndipo wengi tunapokosea katika kuomba. Mara nyingi tumekuwa na mafundo ya chuki tena yumkini katikati ya jamii ya waminio lakini hatuchoki katika kunukuu
KUPAJENGA PALIPOBOMOKA NA KUPASIMAMISHA UPYA 2014/2015
TUCASA | Southern Tanzania Union Mission 7
sala hii, lakini Yesu anasema soma Mt 5:23,24. Muda mwingi mpendwa unaoutumia kujiuliza kwa nini mimi kwa nini Mungu hajibu maombi yangu jiulize kwa nafsi yako ni wangapi na mara ngapi umekataa kusamehee? Pengine yupo mtu fulani hutaki hata kusikia jina lake likitajwa mbele yako kutokana na magumu aliyokutendea tena mtu huyu hata akipewa kuhudumu hutaki kusikiliza na akiomba badala ya mwishoni kusema AMINA wewe husema AMUNA [HAPANA]. Na sasa umelisusia kanisa ukidhani umemususia fulani kumbe unasususia mwenye kanisa [KRISTO YESU] pengine hujaona madhara yake kwani husema moyoni mbona ninafanikiwa na mibaraka inaambatana na mimi? [Soma Mt 5:45 Yeye huwaangazia jua lake watu waovu na watu wema, naye huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki]. Na wewe uliekosa kumbuka ukatubu ili tumwendee Bwana kwa ujasiri kwani tumekwiisha kupatina ni bora zaidi, na hii ndio injili.
Na usitutie majabuni, lakini utuokoe na Yule mwovu [Kwa kuwa ufalme ni wako, na nguvu, na utukufu, hata milele. Amina] Yafaa kukili unyonge wetu mbele za Bwana na kumruhusu kutuongoza katika ushindi maana yeye ana nguvu za kumshinda yule muovu tangu zamani, Hebu fikiri ni kwa nini mara nyingi pengine umedumu katika dhambi fulani kwa muda mrefu si kwamba unapenda ila pengine ni kwa sababu ya kujifariji binafsi kuwa nilikosea sehemu fulani sasa sitarudia lakini unajikuta tena na tena unaanguka Efe 6:11.
Hivyo kwa kuwa vita yetu si ya damu na nyama hata mtu akapige pushapu na kujaza kifua ili kushinda au kwa ujanja wa maneno la! Efe 6:12, Yesu hatakuja kukushika mkono kwa namna ya kimwili kukutoa katika genge la watumia vileo au dimbwi la uzinzi, uasherati au useng‟enyaji au katika mengine mengi ya namna hiyo la! Bali Yesu anahitaji kuujenga utu wako wa ndani juu ya imani yako kwa Bwana, hii haipatikani popote bali ni kwa njia ya maombi na kulisoma neno la Mungu, soma Efe 6:18 Kwa sala zote na maombi mkisali kila wakati katika Roho, mkikesha kwa jambo hilo na kudumu katika kuaombea watakatifu wote.
Na katika kuomba lipo Jina tulilopewa ya kwamba tukiomba kwalo hilo nae Yesu atajibu Yh 14:13
Flp 4:6 …bali katika kila jambo kwa kuomba…., haja zenu na zijulikane na Mungu.
Mpendwa katika kipindi hiki kigumu tunachopitia ambacho tunaishi wakati ulimwengu umeharibika kwa nyanja zote kiuchumi na kimaadili tutasalimika kwa njia ya kusoma neno
KUPAJENGA PALIPOBOMOKA NA KUPASIMAMISHA UPYA 2014/2015
TUCASA | Southern Tanzania Union Mission 8
[Biblia] na maombi tu, na hapana ujanja mwingine, kipindi ambacho shetani anatumia mbinu na nguvu zake zote kuhakikisha amewateka wote waliitiao jina la KRISTO YESU, wakati mugumu kama huu ulimtokea Yesu akijua haya yote ndipo alipowachukuwa wanafunzi wake katika kuomba, hapo ndipo alipopata nguvu ya ushindi
Mungu yupo tayali kutenda kama tukimuomba kwa kicho bila waa [soma Mk 11:24 Kwa sababu hiyo nawaambia, yo yote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba mmeyapokea nayo yatakuwa yenu]. Tunakubali kwamba tunaitaji kumwagwa kwa Roho Mtakatifu katika kipindi hiki cha miisho ya dunia lakini hii itawezekana tu kwa kusoma neno la Mungu na maombi ya binafsi na yale ya makutano. Watu wa Mungu wakiomba kwa moyo safi, dhamiri njema na imani ya kweli maombi ya binafsi na yale ya pamoja ni hakika mambo makubwa yatatokea kama majibu ya maombi yao. Mt 26:36-44
Nakusihi mpendwa kwa huruma za Kristo Yesu usiwe mtu wa kupitwa na masomo mengi bila kujali, panga wiki hii uzibe nyufa zote hali kwamba zisipelekee kuanguka mpaka chini.
Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo, na pendo la Mungu Baba, na ushirika wa Roho Mtakatifu ukae nanyi nyote.
Somo hili limeandaliwa na mtumishi wenu niliye mdogo kuliko yeye aliye mdogo wa watakatifu wote niliye pewa neema hii ya kuwaandikia haya ili tufahamishane jinsi itupasavyo kumwendea Bwana kwa jinsi ya maombi huku tukilisoma sana neno takatifu [Biblia] ili kufahamu siri ya ufalme wa mbingu.

Somo hili linaendelea......

 

Tangazo la Neema. kupajenga palipobomoka

KUPAJENGA PALIPOBOMOKA NA
KUPASIMAMISHA UPYA
2014/2015

TUCASA | Southern Tanzania Union Mission 0

KUPAJENGA PALIPOBOMOKA NA KUPASIMAMISHA UPYA
LIMEANDALIWA NA: KAMATI KUU TUCASA UNION YA KUSINI
TUCASA-STUM
SOUTHERN TANZANIA UNION MISSION
2014/2015
KUPAJENGA PALIPOBOMOKA NA KUPASIMAMISHA UPYA 2014/2015
TUCASA | Southern Tanzania Union Mission 1



UTANGULIZI.
Tunaishi katika ulimwengu uliochanganyikiwa, ulimwengu usiotaka hekima za Mbinguni, tunakutana na changamoto nyingi ambazo wakati mwingine zinatukatisha tamaa, Kwa sababu ya changamoto hizo sehemu kubwa ya ukristo wetu imebomoka kukosa ujumla wa uahalisia wake, pamoja na hayo yuko yesu aliyetayari kutuongoza katika KUPAJENGA PALIBOMOKA NA KUPASIMAMISHA UPYA SAWIA NA NGUVU YAKO YA AWALI (WAKATI WA UBATIZO WAKO) Huyu yesu ni mwenye kutusogeza karibu naye daima, mahali ambapo ni patulivu na pana bubujiko la faraja, kituo cha amani, mahali pa joto la kiroho. Karibuni katika somo la juma hili, Fungua Moyo wako, mwambie Mungu akupe masikio ya kusikia, macho ya kuona na moyo wa nyama katika KUPAJENGA PALIPOBOMOKA. BWANA AWABARIKI SANA,
METHUSELA MASUNGA MWENYEKITI TUCASA SOUTHERN TANZANIA UNION MISSION.


KUPAJENGA PALIPOBOMOKA NA KUPASIMAMISHA UPYA 2014/2015
 

TUCASA |Somo la kwanza


1. TUMEZUNGUKWA NA WINGU KUBWA LA MASHAHIDI
Limeandaliwa na Godfrey J. Machota, Katibu Mkuu TUCASA-STUM

Utangulizi

Je! Hamjui, ya kuwa wale washindanao kwa kupiga mbio, hupiga mbio wote, lakini apokeaye tuzo ni mmoja? Pigeni mbio namna hiyo, ili mpate. Na kila ashindanaye katika michezo hujizuia katika yote; basi hao hufanya hivyo kusudi wapokee taji iharibikayo… {1kor 9:24-25}
Paulo katika barua yake kwa wakorinto amefananisha maisha ya kikristo na mashindano ya mbio za riaza yaliyokuwa yanafanyika huko karibu na korinto. Katika michezo yote iliyokuwapo wakati wa wagiriki na warumi, mchezo wa mbio za riaza ulikuwa wa zamani kuliko yote na uliopendwa sana. Ulikuwa ukitazamwa na wafalme, mabalozi na watu wenye cheo serikalini. {AA 309.1}
Mashindano yaliongozwa na sharia kali, ambazo zilikuwa hazina kukata rufaa. Wale waliotamani majina yao yaingie kwenye mashindano hayo, walipaswa kufanya maandalizi ya kutosha. Mazoea mabaya ya ulaji na unywaji au jambo lolote ambalo lingeweza kushusha uwezo wa akili au nguvu za kimwili, yalipingwa vikali mno... {AA 309.2}
Lilikuwa sio jambo la ajaabu mtu kudondoka, kutoka damu mdomoni au puani na wakati mwingine kuzimia kabisa wakati akiwa katika mashindano, lakini washiriki wa michezo hii hawakuangalia uwezekano wao wa kudumu na ulemavu au hata kufa wakilinganisha na heshima kubwa ambayo ingefuata kama wangekuwa washindi. {AA 310.2}
Shindano la Imani
Katika waebrania 12:1 paulo anasema “Basi na sisi pia, kwa kuwa tunazungukwa na wingu kubwa la mashahidi namna hii, na tuweke kando kila mzigo mzito, na dhambi ile ituzingayo kwa upesi; na tupige mbio kwa saburi katika yale mashindano yaliyowekwa mbele yetu”
Paulo anayafananisha maisha ya ukristo na mashindano ya riaza, katika sehemu ya kwanza ya fungu anasema tumezungukwa na wingu kubwa la mashahidi, je hawa mashahidi ni kina nani? Ellen G. White anasema “wote wanaotuzunguka na wanaotutaza kwa ukaribu, kuangalia namna tunavyoenenda katika Imani tunayoikiri mbele yao. Katika muda wote na maeneo yote kwa kadiri iwezekanavyo ni lazima tuukuze na kuinua ukweli mbele ya ulimwengu” (MS 61, 1907; 7BC 934.11)
Anachokisema mjumbe wa Mungu ni kwamba katika maisha yetu tunazungukwa na watu wasio wa Imani yetu na wa Imani yetu pia ambao huwa mashahidi wa Imani yetu ya kwamba tunaenenda kama Imani yetu inavyotutaka au tunaishi kinyume na tunacho kihubiri. Kama vile wana riaza wanavyojiepusha na vitu au mambo yanayoweza kupunguza uwezo wao wa kimwili
KUPAJENGA PALIPOBOMOKA NA KUPASIMAMISHA UPYA 2014/2015
TUCASA | Southern Tanzania Union Mission 3
na kiakili na hivyo kuwakwambisha kutwaa taji zao za ushindi, vivyo hivyo wakristo wanavyopaswa kufanya ili washinde katika shindano hili la Imani
Paulo anasema “na tuweke kando kila mzigo mzito” mzigo ni jambo lolote ambalo ni kikwazo ambacho kinaweza kukupunguzia au kukuondolea kabisa nafasi ya kushinda, katika njozi ya ijara ya watakatifu Ellen G. White aliona watakatifu wakiwa katika safari kuelekea mji wa
Mungu na kadiri walivyozidi kuukaribia njia ilizidi kuwa nyembemba na pia walikuwa watua na kuachana na mizigo ambayo ingewachosha na safari, wale ambao waling`ang`ania mizigo yao njia haikuwatosha na hivyo walishindwa na safari.
Kila mzigo ambao unamdalilisha kristo ni lazima uwekwe kando haijalishi utakuletea maumivu kiasi gani kuuacha, lakini ni lazima uuweke kando, Paulo anasema “Hata mimi napiga mbio vivyo hivyo, si kama asitaye; napigana ngumi vivyo hivyo, si kama apigaye hewa; bali nautesa mwili wangu na kuutumikisha; isiwe, nikiisha kuwahubiri wengine, mwenyewe niwe mtu wa kukataliwa” (1kor 9:26-27).
Hata kama itakulazimu kuteseka, kukataliwa au pengine kuonekana mshamba ni lazima juhudi zote zifanyike ili kuuweka kando kila mzigo usifaa, Yesu anatoa wito, “Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha” (mathayo 11:28)
Je wewe umejitwisha mzigo gani? Je ni mitindo na mavazi ya kidunia, je ni ya mapambo, miziki na maburudisho ya kidunia? Je umejitwisha kiburi, majivuno, dharau, au kupuuzia mambo ya kiroho? Mjumbe wa Mungu anaandika kwa kalamu ya uvuvio akisema “mibaraka ya Mbinguni haiwezi kumfikia mtu anayevunja maagizo ya kweli za milele. Dhambi moja iliyotukuzwa na kutunzwa inatosha kufanya kazi ya kuharibu tabia na kupotosha wengine” {AA 312.1}
Ndio! Tunaweza kuwapotosha wengine, na kuwafanya waukose uzima wa milele kwa kutokuwa waaminifu wa maagizo ya Mungu, wengi wanakosa kuuona uzuri wa mwokozi kwa sababu ya matendo yetu ya giza ambayo hayapatani na Nuru ya Mbinguni.
Paulo pia anazungumza juu ya dhambi zinazotuzinga kwa wepesi, kuna dhambi ambazo kwa sababu tunazitenda mara kwa mara zimetengeneza mazoea sugu (addiction) katika maisha yetu na kitu kibaya Zaidi dhambi hizi hujulikana kwa uwazi kabisa, na hivyo huchafua tabia na sura ya maisha yetu ya Imani kwa wengine, wengi wamenaswa na mazoea ya uzinzi, uongo, utapeli, kukosa uaminifu, wizi wa zaka na sadaka na tamaa mbaya.
Mazoea haya mabaya huchafua akili na kupunguza uwezo wa kufanya maamuzi sahihi na uwezo wa kutofautisha kati ya jema na baya, mazoea haya huleta hali ya uvuguvugu wa kiimani na huyapofua kabisa macho ya kiroho, na ikiwa hatutaamua kwa dhati kuachana nayo, basi shindano litatushinda na tutaipoteza taji ya uzima wa milele,
Inawezekana Kushinda.
Biblia inatupa vielelezo kadhaa vya maisha ya watakatifu na namna walivyoweza kushinda katika shindano hili, sura ya 11 ya kitabu cha waebrania imejaa vielelezo vya mashujaa wa

KUPAJENGA PALIPOBOMOKA NA KUPASIMAMISHA UPYA 2014/2015
TUCASA | Southern Tanzania Union Mission 4
Imani, Paulo mwenyewe alipokaribia kulala usingizi wa mauti roho wa Bwana alimthibitishia ya kwamba amevipiga vyema vita vya Imani na huku akimtukuza Bwana Paulo anaandika “Nimevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza, Imani nimeilinda; baada ya hayo nimewekewa taji ya haki, ambayo Bwana, mhukumu mwenye haki, atanipa siku ile; wala si mimi tu, bali na watu wote pia waliopenda kufunuliwa kwake” (2Tim 4:7-8)
Ni hakika inawezekana kushinda na kuishi maisha yatakayompendeza Mungu na kuwaonyesha wengine uzuri wa mwokozi, nabii Danieli anatuachia kielelezo kingine cha maisha safi, washitaki wake walivyompeleleza kutafuta kosa hawakuona kitu cha kumshitaki kwacho alikuwa mwaminifu na mwadilifu, tena mtu alipendwa sana mbinguni.
Si kwa Nguvu wala Uweza Bali ni kwa Roho.
Hatuwezi kamwe kushinda bila kuutegemea msaada kutoka mbinguni,

 Danieli aliweza kwa kuwa roho bora ilikuwa ndani yake (danieli 6:3)
 Yufusu alishinda kwasababu Roho wa Mungu alikaa ndani yake (mwanzo 41:38)
 Henoko alishinda kwa sababu alitembea na Bwana siku zote (mwanzo 5:22)
 Paulo aliweza kwa sababu aliamini anayaweza yote katika Mungu anayemtia nguvu (filipi 4:13)
Na sisi biblia inasema tunaweza kushinda na kumwakilisha Yesu vizuri katika jamii zinazotuzunguka ikiwa “tukimtazama Yesu, mwenye kuanzisha na mwenye kutimiza imani yetu; ambaye kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele yake aliustahimili msalaba na kuidharau aibu, naye ameketi mkono wa kuume wa kiti cha enzi cha Mungu.” (ebra 12:2)
Tazama ukaishi tanzama upate uzima tazama pale kalvari ili ukolewe, sisi ni mabaki ni wateule tuliosalia, watakatifu wa Bwana katika kizazi cha mwisho hivyo tumwakilishe vyema kristo katika maisha yetu, mashahidi ni wengi wanaotuona Tumuombe Mungu aziamshe roho zetu ili tufanye bidii katika kupiga mbio za Imani.
Roho yangu amka sasa, mara jitahidi;
Shindano ni lake Bwana, zawadi ni taji.
Sauti ni yake Mungu inayokuita;
Ndiyo aliyekirimu taji ya uzima.
Mashahidi ndio wengi wanaokuona;
Ya nyuma usifikiri bali mwendo kaza.
Bwana umetuanzisha katika shindano;
Kwa vile tunaposhinda ushindi ni wako.
KUPAJENGA PALIPOBOMOKA NA KUPASIMAMISHA UPYA 2014/2015
TUCASA | Southern Tanzania Union Mission 5

Jumatano, 6 Julai 2016

LESSON J5: TAR; 6/7/2016 UTUNZAJI WA DUNIA

Somo; UTUNZAJI WA DUNIA

"Bwana Mungu akamtwaa huyo  mtu, akamweka katika bustani ya Edeni, ailime  na kuitunza." (Mwanzo 2:15). Ni kanuni zipi, kama zipo, tunazoweza kuchukua katika aya  hii ambazo  zitaathiri namna tunavyohusiana na sayari yetu kwa vigezo vya kuitunza?

Kabla ya dhambi, Adamu na Hawa walikuwa wamefanywa kuwa mawakili juu ya vyote ambavyo  Mungu alikuwa amewakabidhi. Walikuwa wamepewa uwezo kamili juu ya maisha ya mimea  na wanyama. Baada ya dhambi, hata hivyo, viumbe vyote vya asili vilionekana kuasi dhidi yao  kwa kiwango kile  kile  walichokuwa wameasi dhidi ya Mungu. Wanadamu wakaanza kujiona kutokuwa  na uwezo mbele ya vitu vya asili ( kama vile hali ya hewa, kilimo na jamii ya wanyama.)

" Miongoni mwa wanyama wengine wakawaida, Adamu alikuwa amesimama kama mfalme, lakin kama angebakia kuwa mwaminifu kwa Mungu, viumbe vyote vya asili vingeendelea kuutambua utawala wake; bali  alipoasi, mamlaka haya yalipotea. Roho ya uasi aliyokuwa  ameiruhusu mwenyewe kuingia ilisambaa pia kwa wanyama wengine. Kwa namna hiyo, sio tu maisha ya mwanadamu, yaliyokuwa yanasimulia kisa  cha huzuni cha somo  la  ujuzi wa  uovu, Bali pia hali ya asili ya wanyama, miti ya misituni, nyasi za uwandani, na hata hewa yenyewe aliyokuwa  anavuta, vyote vilisimulia somo la  kuhuzunisha la  ujuzi Wa mabaya." Ellen G. White, Education, uk. 26,27.

Mpaka sasa, bado tunasumbuliwa na kuteketezwa na majanga ya asili pamoja na mfumo wa  ekolojia unaochakaa kila  leo, yumkini katika baadhi ya maeneo duniani. Na kwa hiyo, tunatumia juhudi nyingi za kutumia  teknolojia na maendeleo ya viwanda kujihami. Hata hivyo, ingawa teknolojia na maendeleo ya viwanda yanaweza kutusaidia kujikinga, wakati mwingine teknolojia hiyo hiyo inaweza  kuiharibu sayari yetu. Ekolojia ni suala mtambuko linalohusika  kimafundisho, kimaadili, na kiteolojia, hasa  pale ambapo matumizi ya rasilimali zilizomo duniani  kunaweza kuwaweka watu wengine kwenye hali ngumu kupindukia.

"Waadventista Wa sabato hutetea mtindo Wa maisha ulio sahili na wenye  kuleta siha kamili, mahali ambapo watu hawarukii kwenye gurudumu LA kuendesha mashine  isiyodhibitiwa ya ufujaji, kunipatia vitu na  uzalishaji Wa taka. Tunawataka watu waheshimu viumbe vya Mungu, kujizuia katika matumizi ya rasilimali zilizomo duniani, kutathmini upya mahitaji  ya kila  mmoja wetu, na kutilia mkazo kuheshimu viumbe wengine."- kutoka katika "Official Statement of the Seventh - day Adventist Church on Environment, [Tamko Rasmi la  kabisa la  Waadventista Wa Sabato kuhusu mazingira]" 1995.

Tunafikiaje mapatano ya haki katika mtazamo wetu  juu ya dunia: kuwa mawakili wema  Wa makao tuliyopewa na wakati huo  huo  tukijiepusha na hatari ya kuifanya  dunia na mazingira kuwa miungu tunayoiabudu? Warumi 1:25 hapa ina  onyo gani kwetu?
➖➖➖➖➖➖➖➖➖
MWISHO WA NUKUU

Je unatunza au Unapamba?

SOMO: NI KUPAMBA? AU NI KUTUNZA NYWELE.
Wanawake wanashindwa kutofautisha kati ya “kutunza nywele” na “kupamba nywele “lazima utofautishe kati ya kutunza na kupamba.
Kamusi ya Kiswahili sanifu inatoa maana ya maneno haya:
“Kutunza” maana yake ni kukiweka kitu katika hali nzuri ili kisiharibike.
“Kupamba” maana yake ni kuweka urembo au nakshi zaidi ya kawaida yake.
Wasichana wengi na wanawake kwa ujumla katika ulimwengu huu wa leo wameamua kupamba nywele zao badala ya kuzitunza. Kupamba nywele  kunaweza kuwa na hasara kadha wa kadha ambazo huambatana na matumizi ya vitu vitumikavyo kupambia nywele hizo. Hasara hizo ni za kiuchumi na kiafya lakini hasara nyingine kubwa ni hasara ya kiroho.

(a)  Madhara ya Kiuchumi.

i.             Gharama kubwa katika kupamba nywele. Wanawake wengi wanatumia pesa nyingi kununua mapambo ya nywele, kwenda saluni, na kuwalipa mafundi wa kuzilemba na kuzipamba. Wanadhani kwa kufanya hivyo watapendeza na kuongeza kukubalika kwao, kumbe wanajiweka katika sehemu mbaya mno. Wavulana wazuri japo hawawaambii waziwazi, wanawaogopa wasichana hao kwa sababu wamejiweka katika daraja la watu wa gharama kubwa. Vijana hao wa kiume huwa wanawakwepa kwa kuhofia gharama za kupamba nywele za mwanamke huyo.

ii.           Kupamba nywele kunahitaji muda wa kutosha ili kuzishughulikia. Muda mwingi ambao ungeweza kutumika kwa shughuli nyingine za kimaendeleo, unapotezwa kenye upambaji wa nywele. Kama muda huo ungelitumika kuzalisha au kufanya kazi fuluni ya kiuchumi basi wanawake hao wangepunguza gharama kubwa za maisha na kuongeza uzalishaji kwa matumizi mazuri ya muda.

(b)  Madhara ya kiafya:

MADHARA YA KIAFYA YANAYOTOKANA NA MATUMIZI YA VIPODOZI.
Mamlaka ya madawa na chakula (marekani) imetafsiri vipodozi kama kemikali ambazo hutumika mwilini kwa lengo la kuosha, kuongeza uzuri na mvuto bila kuharibu kiungo cha mwili na kazi yake. Kwa lugha rahisi vipodozi hubadilisha muonekano wa mtumiaji. Vipodozi huhusisha; kemikali za ngozi, “lotion”, poda, marashi (perfumes), mafuta ya mdomo (lip sticks and lip shine), rangi za kucha, kemikali za uso na macho (eye and facial make up), rangi za nywele (hair colours), marashi ya nywele (hair spray and gels), mafuta ya kuogea na michoro ya mwili (tattoos).

Baadhi ya kemikali (ingredients) za vipodozi zenye madhara mwilini ni;
(i)           Rangi za kucha zina kemikali iitwayo “sodium lauryl sulfate” ambayo husababisha ugonjwa wa ngozi (dermatitis).
(ii)           Kutumia “make up” kwa muda mrefu husababisha ugonjwa wa nywele za kope (eyelashes), ambao humfanya mtumiaji awe na hatari ya kupata ugonjwa wa macho (keratitis).
(iii)        Kemikali zinazotumika kutunza vipodozi (preservatives) kama “ureas” zinasababisha ugonjwa wa ngozi (dermatitis). Aidha kemikali zingine kama methyl, propyl na butyl zinaweza kusababisha saratani ya matiti (breast cancer).
(iv)         Vipodozi vinavyotokana na “petrol” au “paraffin” vinaziba vitundu
vidogo vidogo vya ngozi na kufanya ngozi isitoe uchafu vizuri na hivyo kusababisha chunusi.
(v)          Kemikali kama “oxybenzone” na “octylmethoxycinnamate” inaharibu mfumo wa hormone, hivyo kuathiri shughuli za kikemikali za mwili.
(vi)         “propylene glycol” inasababisha matatizo ya macho, saratani, inaathiri uzazi (wajawazito) na pia ni sumu endapo mtu atakunywa kwa bahati mbaya.
(vii)       “sodium lauryl sulphate” inayowekwa kwenye cream nyingi na shampoo inasababisha ngozi kuwasha, huingia mwilini kwa urahisi na hukusanyika kwenye jicho, ubongo, moyo na ini kwa muda mrefu, hivyo kuathiri utendaji wa viungo hivyo.
(viii)     Rangi za vipodozi zinasababisha saratani.
(ix)        Marashi (perfumes). Perfume (1) inaweza kutengenezwa na kemikali  hadi 200. Baadhi ya kemikali hizo husababisha maumivu ya kichwa, kizunguzungu, chunusi, kukohoa, ngozi kuwasha, aleji na kutapika.
(x)          Kemikali nyingi huharibu na kuondoa seli (cells) za ngozi zilizokomaa (melanin) na kuacha seli zilizo changa; hivyo kuathiri ulinzi ambao  ngozi huutoa dhidi ya vimelea vya magonjwa na mionzi ya jua. Kwa hali hii mwili upo hatarini kushambuliwa na vimelea vya magonjwa, saratani ya ngozi na kuumia kwa urahisi.
Kwa ufupi; kemikali (ingredients) zifuatazo ni htari kwa afya yako; methyl, propyl, butyl, ethyl diethanolamine (DEA) or Triethanolamine (TEA), Diazolidinyl urea, sodium lauryl, petrolatum, synthetic colours e.t.c
Lakini pia kemikali ya Methylmercury inoyotumika kwenye vipodozi na kemikali za kukuzia nywele ina madhara yafuatayo;
(a)  Kwa vitoto ambavyo bado viko tumboni (fetus), watoto wachanga waliozaliwa (infants) na watoto wakubwa kidogo (children), hupata madhara ya vipodozi hivyo kupitia mama zao wakiwa tumboni. Madhara hayo ni pamoja na kuadhiri ukuaji wa ubongo wa mtoto na mifumo ya mwili (effects on baby’s growing brain and nevous system).
(b)   It also affects peripheral vision and disturbances in the body, especially sensations (hisia katika) in the hands (mikono), feet (miguu) and around the mouth (maeneo ya midomo).
(c)  Lack of coordination movement (kuharibu mwondoko wa mwili); impairment (madhara katika) of speech (kuogea), hearing (kusikia), walking (kutembea) and muscle weakness (uthaifu wa misuli).
(d)  Husababisha ugonjwa wa saratani ya shingo ya kizazi, saratani ya ngozi, saratani ya mifupa, saratani ya damu. Ingawa ugonjwa huchukuwa muda mrefu kudhihirika.
(e)  Disturbances in sensation, (kuharibu mifumo ya hisia ya ngozi).
(f)   Changes in never responses,(mabadiliko katika mwitikio wa neva).
(g)  Performance deficits on tests of cognitive function,(kuharibu uwezo wa kuelewa).
(h) Kidney effects, (madhara ya figo)
(i)   Respiratory failure,(kuathiri mifumo ya upumuaji).
(j)   Death,(hupelekea kifo).
(k)  Skin rashes and dermatitis, (michubuko ya ngozi na muwasho).
(l)   Mood swings, (kubadilika kwa hali ya mtu ovyo bila sababu)
(m)               Memory loss, (kupoteza uwezo wa kumbukumbu).
(n)  Mental disturbances, (kuvurugika akili).
(o)  Muscle weakness.
Walioadhirika na matatizo hayo waonane na wataalam wa Afya kwa msaada zaidi. Makampuni mengi hayaorodheshi kemikali zote zilizotumika kutengeneza vipodozi hususani  zenye madhara makubwa. Bidhaa nyingi zinapambwa kwa majina mazuri kama “natural” ama “organic” wakati zinamadhara makubwa kiafya.

TAARIFA YA WIZARA YA AFYA (2004) KATIKA HOSPITALI ZIFUATAZO:
Hospitali ya Mirembe na Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI).
Hospitali ya Mirembe inahudumia wagonjwa wenye matatizo ya akili, wakati hospitali ya oceanroad inhudumia wagonjwa walioathirika na magonjwa ya saratani. Kumbuka mpendwa hayo ni magonjwa yanayosababishwa kwa kiasi kikubwa na utumiaji wa kemikali katika vipodozi, ambapo athari zake huanza kuathiri mtoto akiwa bado yuko tumboni.

Hospitali ya Mirembe hutoa huduma za rufaa kwa wagonjwa wa magonjwa ya Akili. Katika mwaka 2004 iliweza kutoa huduma ya wagonjwa wa nje 33,067 na waliolazwa 3,010. Idadi ya vifo vilivyotokea katika mwaka 2004 kwa wagonjwa wa magonjwa ya akili ilikuwa asilima 4.4 ya idadi ya wagonjwa waliolazwa.
Magonjwa ya Akili kumi yaliyoongoza kwa wagonjwa waliolazwa mwaka wa 2004 ni Schizophrenia 61%, Epilepsy 229 (8.4)%, Organic brain syndrome 134 (6%), Acute psychosis, Psychoactive substance use disorders 14% Depression, Alcoholic psychosis 2% Manic-depressive psychosis, Mania 0.7%, Senile dementia 1.4%, Acute Psychosis 0.9%, Mental deficiency 0.5% na Anxiety neurosis 0.4%

Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI)
Taasisi ya saratani ocean road ni taasisi maalum ya kutibu magonjwa ya Saratani, kwa mwaka 2004 ilihudumia wagonjwa wa nje (OPD) 6,962 ambapo wagonjwa 2,947 walikuwa wa Saratani ya shingo ya uzazi na kati ya hao wagonjwa wapya walikuwa 992 na waliokuwa wakifuatiliwa ni 1,955. Wagonjwa 4,015 walikuwa na Saratani za aina nyingine ambapo 1,874 kati yao ni wapya na 2,141 walikuwa wakifuatiliwa.

Kuhusu wagonjwa, wagonjwa 2,312 walilazwa mwaka 2004. Jumla ya vifo 187 vilitokea kutokana na magonjwa ya Saratani. Saratani ya shingo ya uzazi iliongoza kwa 34.6% ikifuatiwa na Kaposis Sarcoma 14%, Oesophagial carcinoma 8.1 %, Saratani ya matiti 8.0 % pamoja na Saratani za Head and Neck 7.8% kati ya magonjwa kumi yaliyooongoza kwa magonjwa ya nje (OPD). Tiba ya mionzi ilitolewa kwa wagonjwa 30,045 ambapo Shingo ya uzazi ilioongoza katika viungo vilivyotibiwa kwa 65%, ikifutiwa na Head and Neck 10.5% pamoja na Oesophagus 6.3%. Zingatia idadi ya wagonjwa waliohudumiwa, waliokufa, jumla yao walioadhirika. Tazama pia magonjwa yaliyowafanya wengi kulazwa katika taasisi hizo za Afya. Utagundua kuwa vyanzo vya magonjwa hayo vinapatikana ndani ya vipodozi vinavyoonekana kupendwa na kutumiwa na wanawake wengi. Je, watumiaji watapona kwa hali hii, mabadiliko yasipofanyika?

Wapenzi watu wa Mungu, hata katika nchi ya Tanzania, Mamlaka ya chakula na Dawa (TFDA), imepiga marufuku baadhi ya vipodozi ambavyo vimeonekana kuwa na madhara makubwa kwa binadamu. Ikiwa taasisi hii yaweza kuwa na kitu chema cha kuionya jamii inayotumia vipodozi kumkosoa Mungu katika uumbaji wake, habari gani kwa sisi watu wenye nuru ya Mungu?. Kwanini tusiridhike na jinsi Mungu alivyotuumba? Huko ni kuwaka tamaa na kukosa kuwa na kiasi, ndipo tunafikiria kumkosoa Mungu katika uumbaji wake. Wanawake wanajiwekea makalio yasiyo yao, kupunguza matiti au kuyapandisha, kupaka rangi za kucha, mdomo na sehemu nyingine, kutumia dawa za kuongeza hips, kutumia dawa za kukuza nywele, kuweka nywele za bandia na kukoboa ngozi. Tusipo isikia sauti ya Mungu inayotuita leo kutoka Babeli, tutaangamia kwa magonjwa yaliyotajwa hapo juu, ambayo chanzo chake kikubwa ni matumizi ya hivyo vipodozi.

Soma taarifa ya gazeti hili la Mwananchi hapo chini, iliyoripotiwa 24 May 2012 20:48
MWANANCHI:

Thursday, 24 May 2012 20:48
Daniel Mjema, Moshi
WAKATI Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), ikipiga marufuku matumizi ya vipodozi hatari kwa afya za binadamu, vipodozi hivyo sasa vimetapakaa katika maduka mbalimbali ya vipodozi mkoani Kilimanjaro.
Hali ni mbaya zaidi katika mji wa Moshi na vitongoji vyake ambapo baadhi ya Maofisa wa Afya wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi, wamegeuza biashara hiyo kuwa mradi ambapo ‘humalizana’ kiaina na wamiliki wa maduka hayo.
Uchunguzi wa gazeti hili ulibaini baadhi ya maduka hayo kuuza  vipodozi hivyo kwa usiri mkubwa kwa kutazama sura ya mteja ambapo sehemu kubwa ya wale wanaouziwa ni wanawake  huku wanaume wakitiliwa mashaka.

Vipodozi vilivyozagaa kwa wingi ni Carolight, Mekako, Maxi Light, Bio Carote, Carottene na G&G cream, Rico Cream, Princes Cream na Clare Cream ambavyo TFDA ilitangaza vipodozi hivyo kuwa na madhara makubwa kwa binadamu.

Maduka yaliyosheheni vipodozi hivyo yapo katika stendi kuu ya mabasi Moshi Mjini, stendi ya Soweto, Barabara ya Nyerere maarufu kama Double Road, maeneo ya KCMC na baadhi ya maduka ya bidhaa za rejareja yaliyopo kwenye makazi ya watu.

Katika kuthibitisha kuzagaa kwa vipodozi hivyo, mwandishi wa habari hizi aliamua kumkodi  mwanamke mmoja na kuzunguka naye katika maduka sita kununua vipodozi hivyo na akauziwa japo vilikuwa vikichukuliwa nje ya makabati ya bidhaa.

Habari zaidi zilidai kuwa Afisa mmoja wa Afya katika Manispaa ya Moshi(jina tunalo) amekuwa akipita katika maduka hayo mara moja au mbili kwa mwezi na kuchukua hongo ya kati ya sh100,000 na sh200,000 kwa kila duka.
Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi, Dk. Christopher Mtamakaya alipoulizwa jana alisema hana taarifa juu ya kuzagaa kwa vipodozi hivyo na kuahidi kufanya operesheni ya kukagua maduka yote ya vipodozi.

Tayari TFDA ilishatoa taarifa kwa umma juu ya kuwepo kwa vipodozi karibu 200 ambavyo vimetengenezwa kwa madini hatari ya Hydroquinine, Steroids, Bithionol na Zebaki ambayo yana madhara makubwa kwa binadamu.
Taarifa hiyo ya TFDA inasema vipodozi hivyo hatari huweza kusababisha kansa ya ngozi kwa mtumiaji, akina mama kuzaa watoto wenye mtindio wa ubongo na uharibifu wa ini na figo na athari huchukua muda mrefu kutambuliwa.

Historia ya upambaji wa nywele katika Biblia.
Katika bibilia upambaji wa nywele uliambatana na wanawake waovu, wauaji, Malaya na wenye mashetani au waabudu mashetani. Kisa cha Yezebeli katika (2 Falme 9:30), kina onesha kuwa Yezebeli alizaliwa katika Ikulu ya sidoni katika nyumba ya waabudu mashetani au miungu. Miungu yao ilikuwa “ Baali au Bel” mungu mkuu wa kiume aliyeabudiwa kwa kutoa kafara za wanadamu. Bibilia inashuhudia ibada ya namna hiyo. “Nao wamemjengea Baali mahali pake palipo juu ili kuwachoma moto wana wao wawe sadaka za kuteketezwa kwa Baali (yer 19:5)” kando ya ibada hiyo ya kuchoma watoto, ilijumuisha uasharati.

Yezebeli akaolewa na Ahabu mfalme wa Israel. Binti huyu hakuacha ibada ya Baali katika taifa la Israel (1falme 18:4). Hivyo wale wanaooa mabinti wanao jipamba wakidhani watawabadilisha wanajidanganya huko ni kuleta moto wa kigeni katika familia yako na ndipo mtaungana kuabudu miungu mingine.

Lakini Yezebeli alikuwa mwongo na muuaji pia, (1 falme 21:1-16), ndipo baada ya miaka kadhaa, Yehu akaenda kulipiza kisasi, akamkuta huyu mwanamke na tabia yake ya kupamba nywele, Bibilia inasema “Yezebeli akapata habari akatia wanja akapamba kichwa chake ………(2 falme 9: 30), lengo lake la kufanya hivi kwanza aliamini miungu yake itamsaidia lakini pia alitaka Yehu amtamani ili asimuue. Lakini Yehu alipomwona hakumhurumia alimuua (2 Falme 9:33).

Kwahiyo tunaona kuwa upambaji wa nywele si wa wanawake wa kristo. Bali kiasilia ni wa waabudu mashetani ambao huenda sambamba na uovu, uuaji na uasherati. Kuweka nywele za badia zilizo na rasta, kuweka rangi (nyekundu, nyeupe au kahawia na kadhalika) na kuweka wanja, hayo yana kutia hasara kiuchumi, lakini pia yanaharibu sifa yako njema ya kiroho.

Ndugu wapenzi katika kristo nawasihi kwa neema ya Yesu epukeni kupamba nywele maana hayo ni kwa waabudu mashetani. Mungu anachotuagiza kufanya ni kutunza na wala sio kupamba nywele. “kujipamba kwenu kusiwe kujipamba kwa nje, yaani kusuka nywele na kujitia dhahabu na kuvalia mavazi(1peter.3:3).” kumbuka hapa maandiko yanazungumzia kupamba si kutunza. Mapambo yanayo kubaliwa hapa na ndiyo yanayo zungumzwa ni mapambo yasiyo haribika, yaani roho ya utulivu maana ndivyo walivyo jipamba wanawake watakatifu wa zamani (1 pet.3:4).

Katika ufunuo 2:20 anatajwa mwanamke kwa kuhusika na uovu kama uzinzi , “lakini nina neno juu yako  ya kwamba wamridhia Yule mwanamke Yezebeli yeye ajiitaye nabii na kuwafundisha watu wangu na kuwapoteza, ili wazini na kula vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu”. pia mwanamke wa ufunuo 17 naye pia ameonekana amepambwa lakini anatajwa kuwa mzinzi huwakilisha kanisa lililo asi.

Kwa hiyo ili nywele zako zikupatie heshima na kuvutia kukubalika kwako zitunze katika hali ya usafi usiziache zikakuletea usumbufu kichwani kama vile kuwasha na kuwa makao ya chawa na uchafu. Kwa kuziweka nywele katika hali nzuri inakulazimu kuziosha vizuri mara kwa mara kwa sabuni. Baada ya kuziosha zipake mafuta maalum ya nywele, sio madawa. Usiache nywele zako zinasokotana na kufanya zisipendeze, na unapojaribu kuzichana zinauma. Osha, paka mafuta na zichane. Biblia inasema “wala kichwa chako kisikose marhamu (Muhubiri 9:8).” Kwa nini wewe unaacha nywele zako kuwa chafu? Jaribu kutumia nywele zako kujipatia sifa njema, kanisani, nyumbani, shuleni, chuoni, au katika jamii inayokuzunguka. Jiepushe na mitindo isiyompa Mungu utukufu.

HITIMISHO:
MSIMAMO WA KANISA, THISDASO T.U, THISDASO DODOMA ZONE.
1kor.4:1 – Mtu na atuhesabu hivi; kuwa tu watumishi wa Kristo, na mawakili wa siri za Mungu. Hapo tena inayohitajiwa katika mawakili, ndiyo mtu aonekane kuwa mwaminifu.

Kwakweli kama wakristo, tunayo kila sababu ya kuwa kielelezo katika maeneo tunayoishi ili kuwa nuru kwa watu wengine wanaoteseka na mambo ya Dunia hii yasiyo na faida. “Na waende kwa sheria na ushuhuda; ikiwa hawasemi sawasawa na Neno hili, bilishaka kwa hao hakuna asubuhi” (Isaya 8:20). Kama wakristo ikiwa hatuendi sawasawa na Neno sisi kwetu hakuna asubuhi, maana hatutakuwa nuru kwa wtu.

Watu wa Mungu huongozwa na Neno la Mungu, ili liwakinge katika kushindana na mivuto ya walimu wadanganyifu na nguvu za uongo wa pepo za giza. Shetani anatumia kila hila awezayo kuwazuia ili awazuie watu kufahamu maarifa ya Biblia. Katika kila uamsho wa kazi ya Mungu, mkuu wa uovu huamka kufanya bidii zaidi; anajitahidi kupita kiasi kushindana na kristo na wafuasi wake. Angalia sana pepo hili baya la ibilisi la kutaka kukwamisha kazi ya Mungu lisikutumie kwa kazi zake, tumwombe Mungu atupatie uwezo wa kuzipinga hila za shetani, Tule kwa kiasi, Tunywe kwa kiasi, Tuhusiane kwa kiasi, Tuvae kwa kiasi, Tuongee kwa kiasi huku tukijua kuwa sisi ni chumvi ya Dunia.

Hii ni saa ya hatari kubwa.
Kitakacho vumilia mapigo saba ya mwisho ni tabia iliyo takatifu. Hitaji muhimu……Hitaji kubwa la kanisa la masalio si ongezeko la washiriki, wahubiri zaidi, au vifaa zaidi. Zaidi sasa hitaji kubwa leo ni watu waume na wake waliojazwa na Roho Mtakatifu. Kumaliza kazi ya Mungu, yatupasa tupokee kwa upya kila siku ubatizo wa Roho Mtakatifu.

“Hakuna hata mmoja anayedai utakatifu ambaye ni mtakatifu wa kweli. Wale ambao wameandikwa kuwa ni watakatifu katika vitabu vya Mbinguni hawajifahamu, nao huwa ni wa mwisho kujivunia wema wao wenyewe”.

“Wale ambao kwa kweli wanatafuta kukamilisha tabia zao za Kikristo hawatakubali kuwalazimu kuwa hawana dhambi. Maisha yao yanaweza kuwa hayana hatia, wanaweza kuishi maisha yanayowakilisha kweli walioipokea, kwa kadri wanavyoweka mawazo yao kudumu kwenye tabia ya kristo, kwa kadri wanavyokaribia sura yake ya kimungu….”watakamilishwa nao watayachukia mambo ya dunia hii yanayoonekana kuwavutia walio wengi.

Wale wanaojaribiwa kumsaidia Shetani kulaumu viongozi na washiriki katika kanisa la masalio, watafanya vyema kutafakari maonyo ya ujumbe wa Mungu katika mafungu yafuatayo; 6 T 42 – “Hhakuna chochote katika ulimwengu huu kinachopendwa kama Kanisa la Mungu. Mungu ana kanisa ulimwenguni, ambao ni watu wake waliochaguliwa wanaozishika amri zake. Anaongoza, si machipukizi yanayofarakana, si mmoja hapa na pale, lakini watu waliopamoja”. (kutayarisha njia sehemu ya pili, u.k 48).

“Hakuna kinacho mkosea Mungu kama tendo la kudharau mvuto wa wale wanaoifanya kazi yake. Atawahesabia kosa wale wote wanaomsaidia Shetani katika kazi yake ya kulaumu na kukatisha tama” (kutayarisha njia sehemu ya pili, u.k 48). “Yatupasa tuwe na bidii kubwa. Hatuna muda wa kutumia kwa kulaumu na kutoa mashitaka. (kutayarisha njia sehemu ya pili, u.k 48). “Lolote lililo baya, la chuki, kulaumu, kudhulumu, hayo si ya kristo, bali hutoka kwa Shetani” (kutayarisha njia sehemu ya pili uk 48)

“Kuvutwa kuingia katika kulaumu wengine, kungekuwa ni ishara ya hatari kwetu, kwani roho mtakatifu anapotutakasa na kutubadilisha, mioyo yetu itajazwa na upendo kwa ndugu zetu….” “Ijapokuwa ni kweli kwamba wengi wetu katika kanisa la Masalio wako katika hali ya Laodikia, ambao wengi watatikiswa na kutolewa, hata hivyo kanisa wako walio waaminifu ambao watasikia mashauri ya Kristo aliye Shahidi wa kweli…watatayarishwa kwa mvua ya masika, wakishiriki katika kutoa ujumbe pamoja na Kilio Kikuu na kuwa tayari kubadilishwa.

“Hili ni kanisa la Masalio. Mungu hataongoza kanisa lingine. Sasa ni wakati wa kujitayarisha kwa mvua ya masika. Na tungekumbuka kila siku kuwa kazi hii ya kujitayarisha yapasa ianze wakati wa mvua ya vuli” (kutayarisha njia sehemu ya pili uk 48)
Furaha yetu ya baadaye inategemea kuwa ubinadamu wetu, na uwezo wake wote, view katika kumtii Mungu na kuweka chini ya utawala wa Kimungu…” “Kristo anatamani kuwa kila mmoja wetu akate shauri mapema” “Bidii isiyo na kikomo ingekuwa yetu sasa”
Mwisho.
“Ombeni kuwa nguvu ya Roho Mtakatifu, ikiwa na uwezo wake mwenyezi, unaohuisha na kugeuza, uijie roho iliyolemaa kama nguvu ya umeme ikiufanya kila mshipa kuamka kwa uzima mpya, kumhuisha mwanadamu kutoka kwa ufu wake wa kidunia na hali ya kimwili”.
Mungu awabariki mnapojiandaa kila mmoja wetu kufanya mabadiliko kwa yale ambayo Roho amekushuhudia kupitia somo hili ya kwamba ufanye matengenezo.

Jumapili, 3 Julai 2016

Kanusho la Mnyika dhidi ya mazito kwa Lowasa.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI TAARIFA KWA UMMA
Ipo hoja nyepesi mno iliyopikwa na Vijana wa Lumumba juu ya Mbunge wa Kibamba na Naibu Katibu mkuu wa CHADEMA John Mnyika kuwa alimkataa Lowassa
Hoja hiyo ni ya kupuuzwa kwa kuwa haina ukweli wowote ule, na nitalishangaa Jeshi la Polisi kuendelea kukaa kimya,na kumuacha aliepotosha Umma kwa kiwango kikubwa kiasi hicho,jambo ambalo limempa Usumbufu mkubwa Naibu Katibu mkuu kwa chama na Wananchi wake katika jimbo lake.
Nataka kuona nguvu ya Cyber Crime kama kweli sheria hiyo ni dhahiri ni msumeno au huwa inakata upande mmoja tu!.Mnyika ni Kiongozi mkubwa na katika Taasisi kubwa sana nchini CHADEMA,hapaswi kunenewa uongo kwa nia ya kuupotosha Umma naliomba jeshi la Polisi liingie kazini Mara moja kutimiza majukumu yake.
Imetolewa July 03
Edward Simbeye
Katibu Mwenezi BAVICHA Taifa

Ukingo wa Kimya cha Mnyika

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Mtakumbuka ni muda sasa sijaonekana wala kusikika katika harakati za kisiasa. Leo nimependa kuweka bayana ili umma wa watanzania ufahamu kwani kumekuwa na upotoshwaji mkubwa juu ya ukimya wangu.

Napenda umma wa watanzania ufahamu yafuatayo:-

1. Msimamo wangu wa kuitaka serikali imkamate Mh Edward Lowassa, imhoji na imchukulie hatua kwa mujibu wa sheria kutokana na ushiriki wake katika kashfa ya RICHMOND haujabadilika kama ambavyo niliwahi kusema nikiwa mkurugenzi wa vijana wa CHADEMA tar 25 Februari 2008 na kipindi chote nikiwa Mbunge wa Ubungo.

Hivyo nategemea kuanzishwa kwa mahakama ya mafisadi Lowassa ndiyo atakuwa wa kwa. Siwezi kusaliti msimamo wangu bora nipoteze ubunge wangu.

2. Sikukubaliana na utaratibu uliotumika kumpata mgombea urais ndani ya Chama changu hususani ujio wa Mh Edward Lowassa mmoja wa watu ambao ni mizizi ya ufisadi hapa nchini. Hali hii ilinilazimu nikae kimya kutokana na kutokuamini kilichokuwa kinatokea hususani kwa Chama kama CHADEMA kilichojijenga na kujipatia umaarufu kwa kuongoza mapambamo dhidi ya rushwa, ubadhirifu, ufisadi na uwajibikaji mbovu wa serikali halafu tukasaliti msimamo wetu kwa uharaka wa kuipata dola! Sikukubaliana na sijakubaliana hata sasa.

3. Napenda kuzungumzia utendaji wa serikali ya Dkt Magufuli. Naomba Ifahamike nimekuwa mara zote nikisema matatizo ya msingi ya nchi yetu hayasababishwi na mapungufu ya sheria ila Kwa kiasi kikubwa yanasababishwa na kulegea kwa misingi ya utawala wa sheria na uwajibikaji miongoni mwa viongozi. Hivyo kwa asilimia kubwa naona Dkt Magufuli ameweza kujibu nilichokuwa nikikilalamikia kwa muda sasa. Haya mengine yanazungumzika.

4. Sikubaliani pia na mtazamo wa baadhi ya viongozi wakiwemo wa Chama changu wanaotaka fedha za walipa kodi ziendelee kuteketea kwa ufisadi na ubadhirifu huku wahusika ambao ni wachache wakilindwa kwa kisingizio cha haki za binadamu. Kwa hili nampongeza Mh Rais kwa msimamo na hatua anazochukua japo apanue wigo ili watanzania maskini wanufaike na utajiri wa rasilimali walizojaliwa.

5. Vile vile naomba kuzungumzia mwenendo wetu kambi rasmi ya upinzani bungeni au UKAWA binafsi sifurahishwi na maagizo na maelekezo ya viongozi wetu juu ya kuingia na kutoka bungeni kwa hoja ambazo haziwagusi wananchi moja kwa moja kiasi cha kutufanya tushindwe kutimiza majukumu yetu kama wabunge kwa mujibu wa Ibara ya 63 (2) na (3) katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya kutunga sheria, kuisimamia serikali, kuwawakilisha wananchi na kupitisha mipango ya maendeleo. Sifurahishwi sababu kutoka Kwetu hakuna la msingi tunalofanya kwa ajili ya wananchi waliotutuma huko bungeni. Tusipobadilika itatugharimu!

Mwisho nawatakia waumini wote wa kiislamu mfungo mwema wa mwezi mtukufu wa Ramadhan.

Imetolewa leo tar 3 Julai 2016.

John Mnyika (Mb)
0754 694 553