RAIS DK. MAGUFULI APITA KWA KISHINDO NA KUTAWAZWA KUWA MWENYEKITI MPYA WA CCM LEO MJINI DODOMA
Mwenyekiti
Mstaafu wa CCM, Jakaya Kikwete akimkabidhi moja ya vitendea kazi,
Mwenyekiti mpya wa CCM, Rais Dk. John Magufuli baada ua Wajumbe wa
mkutano Mkuu wa CCM, kumpitisha asilimia kwa mia ya kura, katika
kumchagua leo katika ukumbi wa Dodoma Convetion.
SIYO YA KAWAIDA
HAKIKA CCM NI CHAMA DUME
Mwenyekiti
Mstaafu wa CCM Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akimpongeza Mwenyekiti mpya
wa CCM Rais Dk. John Magufuli baada ya wajumbe wa Mkutano Mkuu maalum wa
CCM kumchagua kwa kura asilimia mia kwa mia.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni