Jumanne, 26 Julai 2016

KAMA KAWAIDA YAKE AFUNGUKA MAZITO

Mwenyekiti mpya wa CCM, Rais Dk. John Magufuli akitoa hotuba yake, baada ya kutawazwa kushika nafasi hiyo kwa kupata kuta asilimia mia kwa mia zilizopigwa na wajumbe wa mkutano mkuu maalum wa CCM uliofanyika leo mjini Dodoma, Picha zote na Bashir Nkoromo) KUONA PICHA ZAIDI YA 100 ZA MKUTANO MKUU 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni